Bukanga
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 2,857
- 1,936
Ndugu zetu waislamu wawe wakweli na waache kubadili historia na kupindisha ukweli. Kimsingi lazima watmbue kuwa kuna tofauti kubwa kati ya waislamu wao na hao wanaowaona na kuwasikia kupitia mainstream media. MoU wao wanadhani sirikali inatoa bure, mi natoka mara, nenda Serengeti, serikali haina hospitali yoyote pale, iliyopo District Designated hospital iko chini ya kanisa la Mennonite Tanzania, mwaka jana mwishoni serikali ndo imeanza kujenga hospitali yake. Vivyo hivyo wilaya ya Bunda hospitali ya wilaya imejengwa na Anglican, achilia mbali Shirati iko chini ya Mennonite church, na zote hizi zinaendeshwa kama public facilities na sio kama Agha kan na nyinginezo na ikumbukwe hazikujengwa na Serikali, sasa hayo ni maeneo machache tizamaWEIL!? Bugando, KCMC to mention a few, serikali isipochangia huduma zitawafikiaje watu wa chini? Waislam waige mema yafanywayo na wenzao na kuacha kulalamika, utaingiaje MoU na huna project yoyote, wao wanadhani serikali ni pumbavu namna hyo. Au kwa kuwa rais wa kwanza alikuwa mkatoliki? Ths is boring. Fanyeni kazi acheni kelele na jueni network ya hao makafir ni kubwa hv leo wakisema hakuna muislam kupata huduma ktk vtuo vyao vya afya, mashule yao wots gonna happen? Acheni dharau jipangeni, hitishen harambee kama wafanyavyo makafir anzisheni huduma za jamii tena nyie matajiri, viongozi wote ngazi za juu, wa mashirika ya umma, wafanyabiashara mahil kina 'RA', Bahresa n.k wote wenu. Otherwise mtadai hadi KIA ilikuwa kiwanja chenu...