Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 39
ha ha ha ha ha!
nimecheka mpaka nimelia!najiuliza huwa unamfuata kwa nyuma nyuma mkiwa baa?hadi vyoo vya kiume?
we cheka tu kazi kweli ...luckily hatulewi sote kwa hivyo baa hatuna kazi nazo hata kama ni club ni soda tu..hamna mambo ya trips za urinals.....lakini am telling u hawezi kabisa!!!!!!! labda kiyama kishuke LOL