compressor
Member
- Nov 26, 2009
- 76
- 0
duh! hapa leo japokuwa ni vibaya,lakini ni bora ukasema huna mahusiano kwa hiyo huna cha kushangaa na ukajikuta unajishangaza wewe mwenyewe moyoni."kila mtu kwa nafsi yake" duh!,unajua yanayoistaajabisha nafsi juu ya mwenza wako kuyatamka upenuni yanataka ujasiri,vinginevyo inabidi uwe injinia wa habari fupi.Hii ni nzuri saaaaaana Geoff,imezidi uzuri kiasi cha kuleta kigugumizi.