Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Chetuntu kwakuwa wewe si mpemba, ruksa kukuchezea with au without?
hii imekaa kiukaguzi zaidinaona hommie...
Chetuntu kwakuwa wewe si mpemba, ruksa kukuchezea with au without?
hii imekaa kiukaguzi zaidinaona hommie...
Chetuntu kwakuwa wewe si mpemba, ruksa kukuchezea with au without?
Kaizer me si mpemba bana.
Namuoa wiki ijayo April 16
Mnoko kashaingia ngoja nisepe.
hakuna ruksa !!! Huko mnakokwenda nimewapa angalizo tu. Hulali tena?? Ntakuletea ugoro wa tumbaku ya lubumbashi.
utakuwa umefanya la maana coz unanitapisha pilau yangu na hiyo "necha" yako.
good, sasa hebu tuongee vizuri...with au without?
ngoja babu Asprin ajibu.
Unaharibu sasa.....necha hairuhusu ugomvi, kwahiyo waifu hapaswi kumjua msaidizi wake ila msaidizi anapaswa kumjua bosi wake.......
Kesho mbona mbali....ukimalizana na Kaizer uje huku mtaa wa pili, utanikuta na mkongojo wangu.
Daahh
Babu samahani
Kaizea amesahau jinsi ya kuziba pancha
Kwa hiyo ntachelewa kiDoncho
Hahahah lol
ngoja babu Asprin ajibu.
Kaizer waeza chezeana naye without lakini babu itabidi iwe with.
Daahh
Babu samahani
Kaizea amesahau jinsi ya kuziba pancha
Kwa hiyo ntachelewa kiDoncho
Hahahah lol
orait...
orait,hommie naona umejali maslahim yangu hapo
Chetuntu twe nzetu mama...without
Daahh
Babu samahani
Kaizea amesahau jinsi ya kuziba pancha
Kwa hiyo ntachelewa kiDoncho
Hahahah lol
hujambo mpendwa!!