Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
With au without haina uhusiano wowote na malezi. Ni uamuzi tu..........haya amua without afu njoo without.
akaa! Nimelelewa ki with with, ki without without ckitaki.
With au without haina uhusiano wowote na malezi. Ni uamuzi tu..........haya amua without afu njoo without.
...dah, mimi nawashangaa sana aisee. Mmoja tu kasheshe.mmoja tu kasheshe kwamba? fanya utafiti kwako mwenyewe halafu extend to your fellow!
Kwa wanaume: Hawakuumbwa kuwa na mwanmke mmoja...huwezi kupingana na necha.
Kwa wanawake wenye tabia hiyo: Umalaya, mwanamke anapaswa awe na mwanaume mmoja tu.
Narudi kitandani.
Mkitumia neno malaya kwa wanawake tu then mnakosea,.if a man anamove na wasichana kila leo mwingne,then he is a dog!botom line..na mwanamke hvo hvo..hamna cha nature,
Wabongo??waliambiwa kunaukimwi tumieni kondom sasa wanasema ukitumia zuma style maji kwa wingi!! hupati ukimwi sasa hawa watu utawafanyeje??Mi+naona ni+ile asili ya mwanadam ya kutenda dhambi ndo inasababisha wa2 kuwa na mwanamke zaid ya mmoja. So wa2 wanatakiwa ku2bu na kumrudia mungu
Loooo ndio unavojidanganya hivyoWabongo??waliambiwa kunaukimwi tumieni kondom sasa wanasema ukitumia zuma style maji kwa wingi!! hupati ukimwi sasa hawa watu utawafanyeje??
Unakuwa na mpenzi wako,au hata mke/mume lakini unajikuta umeshawishika kuwa na mahusiano nje hii inatokana na nini??haswa?je nikuwa uliyenaye umemuchoka?lugha lahisi hakuna maelezo!!!
Unajua hata unga wa ngano ni mmoja but unatoa mandazi,chapati,keki,visheti,etc. Nafkr umenisoma