afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Afrodenzi umesema
hata GF ana BF wake
Yap naamini
ni kama mduara tu..
Afrodenzi umesema
hata GF ana BF wake
Daahh
Knock knock
samahani babu imenibidi nikuamshe tena
kwa hiyo ni halali kwa mwanaume aliye oa na
familia yake kwenda nje ya ndoa yake na binti ambaye
hajaolewa lakini huyo binti ana boy friend ?
hahaaaa hii kali, JF mmhh.We kajukuu vipi?
Hivi si nimesema mwanaume hapaswi kutafuna mwanamke ambaye ana mwanaume anayemkamua? Hivi boifrendi siyo mwanaume.........Mi nazungumzia hawa ambao hawana wanaume kabisa........mnataka waitii kiu yao kwa magunzi? Acheni uchoyo!
Ole wako uniamshe tena.
hahaaaa hii kali, JF mmhh.
Unakuwa na mpenzi wako,au hata mke/mume lakini unajikuta umeshawishika kuwa na mahusiano nje hii inatokana na nini??haswa?je nikuwa uliyenaye umemuchoka?lugha lahisi hakuna maelezo!!!
Nimeipenda sana avatar yako Kibiritigitaa.....wanaume wanafanya kazi bana, acheni masihara.
We kajukuu vipi?
Hivi si nimesema mwanaume hapaswi kutafuna mwanamke ambaye ana mwanaume anayemkamua? Hivi boifrendi siyo mwanaume.........Mi nazungumzia hawa ambao hawana wanaume kabisa........mnataka waitii kiu yao kwa magunzi? Acheni uchoyo!
Ole wako uniamshe tena.
Kwa wanaume: Hawakuumbwa kuwa na mwanmke mmoja...huwezi kupingana na necha.
Kwa wanawake wenye tabia hiyo: Umalaya, mwanamke anapaswa awe na mwanaume mmoja tu.
Narudi kitandani.
We unafikiri mpaka hako katumbo kaumuke ni kazi ndogo?...wanaume tunajituma mchana na usiku kujaza hako kakitu.Kibiritigitaa????? kazi gani ????
Hapo hakuna malaya kwa kuwa mwanaume atakuwa na wanawake wawili wote mali zake, na kasichana katakuwa na mwanaume mmoja, na bi mkubwa naye anakuwa na mwanaume mmoja.Ok
swali la mwisho
Sasa hapo kama mwanaume ana mke
na msichana yuko single nani malaya?
Samahani sana
kwa kukuamsha..
Marahaba kajukuu........Yap. Kama unabisha kayaulize majogoo, mabeberu, simba, nk nk......ulishawahi kuona mafahari wawili wamekaa zizi moja? Thats nature bana....mwanaume lazima amiliki bidhaa ya kike zaidi ya moja
Marahabaa kajukuu...
Mwanaume anayetoka na mke wa mwanaume mwenziye, naye ni malaya. Mi nazungumzia mwanaume anayetoka na mwanamke ambaye hana mume/mwanaume wa kumwondolea mauzito na majimaji yasiyotakiwa mwilini....
Narudia kauli yangu:
Mwanaume akitoka na wanawake zaidi ya mmoja, ilhali si mwanamke wa mwanaume mwingine, hiyo ni halali kabisa kwa mujibu wa necha.
Mwanamke akitoka na zaidi ya mwanaume mmoja...Malaya.
Narudi tena kitandani......ole wake atakayeniamsha!
Nazjaz hebu soma hapo chini kwa kiswahili
The Following User Says Thank You to Nazjaz For This Useful Post:
Hata gari lina spea tairi ii ya maanisha ni kuwa na akiba.mpenz X akizingua wajiongeza kwa mwingneUnakuwa na mpenzi wako,au hata mke/mume lakini unajikuta umeshawishika kuwa na mahusiano nje hii inatokana na nini??haswa?je nikuwa uliyenaye umemuchoka?lugha lahisi hakuna maelezo!!!
hommie umeamkia wapi leo?
mi mwanamke ni mwanamke haijalishi kama ni mke wa mtu ama ni GF au hana mtu kabisa
mkewa wa mtu au yeyote si anakuwa na mvuto ule ule ambao tunasema necha hatuwezi kupingana nayo?
chukulia mfano, Chetuntu ni mwanamke lakini mke wa mtu, Na Afrodenzi naye ni mwanamke lakini ako single, kisha Nazjaz yeye ako na BF ila hajaolewa . Tofauti yao inakujaje tunapoiweka nature kwen perspective?
haaaa mi narudi gest Kipepeo msiniulize niko na nani
hommie umeamkia wapi leo?
mi mwanamke ni mwanamke haijalishi kama ni mke wa mtu ama ni GF au hana mtu kabisa
mkewa wa mtu au yeyote si anakuwa na mvuto ule ule ambao tunasema necha hatuwezi kupingana nayo?
chukulia mfano, Chetuntu ni mwanamke lakini mke wa mtu, Na Afrodenzi naye ni mwanamke lakini ako single, kisha Nazjaz yeye ako na BF ila hajaolewa . Tofauti yao inakujaje tunapoiweka nature kwen perspective?
haaaa mi narudi gest Kipepeo msiniulize niko na nani
Huyu atakuwa mrembo wako wa 4 kumpata ndani ya wiki 2 . . . .
Hivi wewe kamati zako zinakuchunguza kweli??:yield:
We unafikiri mpaka hako katumbo kaumuke ni kazi ndogo?...wanaume tunajituma mchana na usiku kujaza hako kakitu.
Hapo hakuna malaya kwa kuwa mwanaume atakuwa na wanawake wawili wote mali zake, na kasichana katakuwa na mwanaume mmoja, na bi mkubwa naye anakuwa na mwanaume mmoja.
Silali tena manake huchelewi kuniamsha tena
Unakuwa na mpenzi wako,au hata mke/mume lakini unajikuta umeshawishika kuwa na mahusiano nje hii inatokana na nini??haswa?je nikuwa uliyenaye umemuchoka?lugha lahisi hakuna maelezo!!!
Hahahahahahahah lol
Haya babu nakubaliana
Na weye kidoncho tuuu
Jekama kweli umemweleza huyo
binti mdogo ukweli kwamba una mke
unadhani ye atakubali kuwa second hand clothes?
Dahhh leo nisamehe bure..