Njoo nikuzibe without...
Unakuwa na mpenzi wako,au hata mke/mume lakini unajikuta umeshawishika kuwa na mahusiano nje hii inatokana na nini??haswa?je nikuwa uliyenaye umemuchoka?lugha lahisi hakuna maelezo!!!
Mi sijambo mpenzi
We wa endeleaje?
Mie natafuta without hahahah lol
orait...
orait,hommie naona umejali maslahim yangu hapo
Chetuntu twe nzetu mama...without
Ni tamaa tu ndo inasababisha....
ni kwa sababu uliye nae hajakamilika.
tatizo tairi la kichina my dear.....ndo hapo next time nafunga michellin
Habari zenu warembo.
Ndo mnaamka siyo? sredi ilishafungwa siku nyingi, hapa sasa ni mjadala wa with au without...
hapana kwa wewe ni without??
Jaman Kaizer
hivi badoi uko China..
Khaaa nakuja kukubeba home..
back to the topic. ni njaa tu za huko chini.
we mbabu asprin, with au without nini?
akaa!
Sijalelewa hivyo.
Kwa wanaume: Hawakuumbwa kuwa na mwanmke mmoja...huwezi kupingana na necha.
Kwa wanawake wenye tabia hiyo: Umalaya, mwanamke anapaswa awe na mwanaume mmoja tu.
Narudi kitandani.
Habari zenu warembo.
Ndo mnaamka siyo? sredi ilishafungwa siku nyingi, hapa sasa ni mjadala wa with au without...
Sina uwakika na ubabu wako lakini you like fidel80 au pacha? mitazamo yenu balaa!
Babu mimi ndo naamka...hebu nieleweshe hapo pa with au without ndo nini vile? bado macho yana usingizi....
Mhh...hii ya with na wthout...mhh hapana... Naogopa mie...Pole sana, hebu njoo huku without nikueleweshe nini maana ya with.