Ni kitanda gani kizuri; mbao, chuma au sofa?

Ni kitanda gani kizuri; mbao, chuma au sofa?

Mbao haitokua na mpinzanii,
Chuma kikianza kulika kwenye maungio ni kelele tuu,
Sofa ndio kabisaa, kuchanika, kuchafuka, kufubaa, bado hujataja uimara na mbao za hovyo zilizofunikwa na kitambaa....

Kua makini na mbao za sikuhizi wanazoita mbao ngumu, mbao inapewa jina mfano Mninga, mkongo n.k, akisema mbao ngumu tuu shtuka.
Hayo ni ma play wood, MBF ya kichina likiingia maji unaokota pumba chini.

NOTE : Epuka furniture iliyopigwa Rangi kabla hujaona mbao yenyewe.
Kabisa...
Mbao bado kwangu itaendelea kuwa my Favourite siku zote..

Mimi chuma, sijui sofa hapana aiseee...Siku hizi naona hivyo vya sofa wanaviongezea thamani wanawawekea na viwaka waka
 
Kabisa...
Mbao bado kwangu itaendelea kuwa my Favourite siku zote..

Mimi chuma, sijui sofa hapana aiseee...Siku hizi naona hivyo vya sofa wanaviongezea thamani wanawawekea na viwaka waka
Kuna rafiki yangu kanunua juzijuzi ananiita Kwa mbwebwe nikaone makochi mazuriiii,nafika pale nakuta yamepambwaa na maufito ya gold yanameremeta Niko oooh but why!

Mbao jamani Iko very class
 
Kuna rafiki yangu kanunua juzijuzi ananiita Kwa mbwebwe nikaone makochi mazuriiii,nafika pale nakuta yamepambwaa na maufito ya gold yanameremeta Niko oooh but why!

Mbao jamani Iko very class

Mbao habari nyingine kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom