Ni kiongozi gani sio Fisadi au Msanii

Ni kiongozi gani sio Fisadi au Msanii

SOCIOLOGISTTZ

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
2,615
Reaction score
929
Wana JF nataka kujua ni kiongozi gani wa nchi hii(Tanzania kwa sasa) ambaye siyo fisadi wala Msanii ili Watanzania wamuige matendo yake kwa maendeleo ya nchi. Asante.
 
viongozi wa chama makini cha ACT wanaongoza kwa uadilifu..
 
viongozi wa chama makini cha ACT wanaongoza kwa uadilifu..
Lakini tungependa zaidi kujua viongozi wanaoongoza nchi hii (serikali) kuliko kwenye vyama vya kisiasa au taasisi nyingine ambazo siyo za kiserikali

 
Lakini tungependa zaidi kujua viongozi wanaoongoza nchi hii (serikali) kuliko kwenye vyama vya kisiasa au taasisi nyingine ambazo siyo za kiserikali


ngoja nikutajie safu ya waadilifu serikalini
1.kikwete
2.magufuli
3.membe
4.sita
5.prof. tibaijuka
6.kinana
7.mangula
8.nape
9.mwigulu
10.migiro
 
ngoja nikutajie safu ya waadilifu serikalini
1.kikwete
2.magufuli
3.membe
4.sita
5.prof. tibaijuka
6.kinana
7.mangula
8.nape
9.mwigulu
10.migiro
Wenye maoni kuhusu hawa waliotajwa hapo juu kama kweli siyo wasanii au Mafisadi watuelezee vizuri

 
1396616567229.jpg
Msoga ndio kwake huyo mwadilifu
 
Wana JF nataka kujua ni kiongozi gani wa nchi hii(Tanzania kwa sasa) ambaye siyo fisadi wala Msanii ili Watanzania wamuige matendo yake kwa maendeleo ya nchi. Asante.
Na mimi naomba kukuuliza ni lini ulishasikiaga Kiongozi Mzanzibari FISADI?
 
ngoja nikutajie safu ya waadilifu serikalini
1.kikwete
2.magufuli
3.membe
4.sita
5.prof. tibaijuka
6.kinana
7.mangula
8.nape
9.mwigulu
10.migiro

Eti wewe unajiita ACT, sema tu kwamba wewe gamba tena zaidi ya lile la Chenge lililokwama kiunoni!
 
Eti wewe unajiita ACT, sema tu kwamba wewe gamba tena zaidi ya lile la Chenge lililokwama kiunoni!

kwani kutaja hiyo list ni makosa? mbona chadema kuna waadilifu.kama. prof. safari. marando, said arfi, zito. mnyika . mdee....
 
ngoja nikutajie safu ya waadilifu serikalini
1.kikwete
2.magufuli
3.membe
4.sita
5.prof. Tibaijuka
6.kinana
7.mangula
8.nape
9.mwigulu
10.migiro
namba 1 angalau ila rafiki zake wamemwangusha/mchafua
--------2 anajitahidi kula na vipofu
--------3 kuna mashaka
--------4 kama namba 1 tu
---------5 wa kichini chini
---------6 he known how to use a gun a former soldier
---------7 hana kashfa ila wanajitahidi mchafua
---------8 moyowe mengi sometimes hupozwa
---------9 ujana mwingi umaarufu wa nguvu..kama no.8
---------10 kazungukwa nao ...but no evidance kama nae hula
 
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Wanyama Pori - Songorwa Alexander
 
Back
Top Bottom