Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Jamani mbona hamtupi rejea?? Mimi kwa kutumia ''mwembeyanga list of shame'' naomba kumtoa namba 1.
namba 1 angalau ila rafiki zake wamemwangusha/mchafua
--------2 anajitahidi kula na vipofu
--------3 kuna mashaka
--------4 kama namba 1 tu
---------5 wa kichini chini
---------6 he known how to use a gun a former soldier
---------7 hana kashfa ila wanajitahidi mchafua
---------8 moyowe mengi sometimes hupozwa
---------9 ujana mwingi umaarufu wa nguvu..kama no.8
---------10 kazungukwa nao ...but no evidance kama nae hula