Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Maisha Binafsi ni nini?
"CEO" wa Bank kama CRDB ni "Public Figure" na anatakiwa kuwa na mienendo sahihi ya ki-Maisha! Ni dhambi kubwa kuhalalisha UMALAYA kwa jina la "maisha binafsi"!
"CEO" wa Bank kama CRDB ni "Public Figure" na anatakiwa kuwa na mienendo sahihi ya ki-Maisha! Ni dhambi kubwa kuhalalisha UMALAYA kwa jina la "maisha binafsi"!