Malengo ya ccm yanasema hivi
Miaka nenda rudi Tanzania imeongezeka kwa umaskini na kuendelea kuwa nyuma kielimu, sekta ya afya na kiuchumi. Viongozi wa serikali ya Tanzania kwa miaka 50 sasa wanafanya nini, tunachokifahamu ni kwamba familia za ccm ndizo zinazofanikiwa. Hizi ndizo policies za kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya uchumi na wanachotaka wananchi wengi waendelee kuwa mahouse girls na house boys ili familia zao wasome kwenye vyuo na shule nzuri, wafungue biashara za kifisadi na waishi maisha ya kifahari.
Uchambuzi wa uchumi wa Tanzania tunaweza kusummarize hivi, ni madeni ya IMF, World Bank na Donors. Hebu tuwaulize Mkullo na Ndulu, Tanzania inatumia kiasi gani cha mamilioni kwa matumizi ya serikali peke yake? Tanzania inakopa mamilioni kiasi gani kila fiscal year? Vitu vya kuuliza ni hivi?
1. Revolution ya kilimo imekwenda wapi?
2. Business empowerment and skills imeuliwa na nani?
3. Where are strategies for economic expansion?
"No more chances for ccm in Tanzania"
Tuangalie Resources za Tanzania zilizoharibiwa na kuzalauliwa na ccm:
Economy - overview:
Tanzania is one of the world's poorest economies in terms of per capita income, however, Tanzania average 7% GDP growth per year between 2000 and 2008 on strong gold production and tourism (where're funds?). The economy depends heavily on agriculture, which accounts for more than 40% of GDP, provides 85% of exports, and employs about 80% of the work force. The World Bank, the IMF, and bilateral donors have provided funds to rehabilitate Tanzania's aging economic infrastructure, including rail and port infrastructure that are important trade links for inland countries. Recent banking reforms have helped increase private-sector growth and investment, and the government has increased spending on agriculture to 7% of its budget. Continued donor assistance and solid macroeconomic policies supported a positive growth rate, despite the world recession. In 2008, Tanzania received the world's largest Millennium Challenge Compact grant, worth $698 million. Dar es Salaam used fiscal stimulus and loosened monetary policy to ease the impact of the global recession. GDP growth in 2009-10 was a respectable 6% per year due to high gold prices and increased production.
Industries:
agricultural processing (sugar, beer, cigarettes, sisal twine); diamond, gold, and iron mining, salt, soda ash; cement, oil refining, shoes, apparel, wood products, fertilizer
Natural gas - production (wanazotuibia mafisadi):
560.7 million cu m (2008 est.)
Electricity - production:
3.786 billion kWh (2007 est.)
country comparison to the world: 120
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html
"CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo"
Website Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi - CCMMiaka nenda rudi Tanzania imeongezeka kwa umaskini na kuendelea kuwa nyuma kielimu, sekta ya afya na kiuchumi. Viongozi wa serikali ya Tanzania kwa miaka 50 sasa wanafanya nini, tunachokifahamu ni kwamba familia za ccm ndizo zinazofanikiwa. Hizi ndizo policies za kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya uchumi na wanachotaka wananchi wengi waendelee kuwa mahouse girls na house boys ili familia zao wasome kwenye vyuo na shule nzuri, wafungue biashara za kifisadi na waishi maisha ya kifahari.
Uchambuzi wa uchumi wa Tanzania tunaweza kusummarize hivi, ni madeni ya IMF, World Bank na Donors. Hebu tuwaulize Mkullo na Ndulu, Tanzania inatumia kiasi gani cha mamilioni kwa matumizi ya serikali peke yake? Tanzania inakopa mamilioni kiasi gani kila fiscal year? Vitu vya kuuliza ni hivi?
1. Revolution ya kilimo imekwenda wapi?
2. Business empowerment and skills imeuliwa na nani?
3. Where are strategies for economic expansion?
"No more chances for ccm in Tanzania"
Tuangalie Resources za Tanzania zilizoharibiwa na kuzalauliwa na ccm:
Economy - overview:
Tanzania is one of the world's poorest economies in terms of per capita income, however, Tanzania average 7% GDP growth per year between 2000 and 2008 on strong gold production and tourism (where're funds?). The economy depends heavily on agriculture, which accounts for more than 40% of GDP, provides 85% of exports, and employs about 80% of the work force. The World Bank, the IMF, and bilateral donors have provided funds to rehabilitate Tanzania's aging economic infrastructure, including rail and port infrastructure that are important trade links for inland countries. Recent banking reforms have helped increase private-sector growth and investment, and the government has increased spending on agriculture to 7% of its budget. Continued donor assistance and solid macroeconomic policies supported a positive growth rate, despite the world recession. In 2008, Tanzania received the world's largest Millennium Challenge Compact grant, worth $698 million. Dar es Salaam used fiscal stimulus and loosened monetary policy to ease the impact of the global recession. GDP growth in 2009-10 was a respectable 6% per year due to high gold prices and increased production.
Industries:
agricultural processing (sugar, beer, cigarettes, sisal twine); diamond, gold, and iron mining, salt, soda ash; cement, oil refining, shoes, apparel, wood products, fertilizer
Natural gas - production (wanazotuibia mafisadi):
560.7 million cu m (2008 est.)
Electricity - production:
3.786 billion kWh (2007 est.)
country comparison to the world: 120
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html