Mambo kuwa hadharan si swala la kumsifu jk hata kidogo huu bado ni udhaifu ndan ya usalama wa taifa. Maana wao ndo wanatoa data hizo , jk ni total failed pia uongozi kwa ujulma yeye c ndo kiongoz anae wateua mbona hawawajibishi sasa sioni jema la jk hata moja