Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Hahahaha nitakuita siku moja bar nakupombesha ile mbaya.....halafu utaamka asubuhi umechooooka....
ahhh Masa gari ya pombe hii... full kujitambua kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Hahahaha nitakuita siku moja bar nakupombesha ile mbaya.....halafu utaamka asubuhi umechooooka....
Mpwa kuwa makini mke wa mtu huyo we mpombeshe alafu ukamatwe ugoni sijui nani atakunasua.
ahhh Masa gari ya pombe hii... full kujitambua kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Usipime wewe shauri yako....nitakupiga macocktail ya kufa mtu....Sex on the beach, French Tear, Slow Hand Lover, Bullshot najua mademu wa kibongo beer anaweza kunywa crate akaishia kukusumbua kumpeleka maliwatoni. Baadaye atakata amwage vitu kwenye kiambaza Mawliwatoataona mbali....wewe ukipigwa macocktail macho lazima yakulegee....na somo lieleweke....
haaa mr upo kwenye huu mji? j5 naingia hapo tutafutane.......
Komredi unamalizia na white russian apo kazi kwishnei!
Pole dada yaani huo ni mtihani sana ila usiache kumwomba mungu pengine ni kipimo anakujaribu lamsingi vumilia lakini ukae katka maombi wanaume wa namna hy wapo tena wengi sana na ukiwa legelege tu atakupeleka sna na hutakuwa na maendeleo ila kwakwe ndio ajenge sio kwakwe Pole
Stay blessed
so kila mkikaa mpo na shoga zake, sasa nyie muda wenu wa kuongea yanayowahusu ni kitandani tu? kuna wakati anaweza kweli akaja na frnd wake na wewe pia wakati mwingine ukawa na frnd wako, yani kampani tu lakini icwe sheria kukokotana....
Komredi unamalizia na white russian apo kazi kwishnei!
Komredi unamalizia na white russian apo kazi kwishnei!
Unajua luv nilicho gundua! mwanamke ukimtoa out basi anatafuta nae mpambe wake nae aje anywe next time huyu mwanamke wangu rafiki yake akitolewa out nae anachukuliwa out kama kulipa fadhira na cycle inaendelea to infinite sema hii mitoko sasa ya kuja na mashost ina madhara yake mimi alikuja na mpambe mkali kuliko yeye oooh nikabadili upepo nikachukua namba week end ijayo nikatoka na mpambe maisha yaliendelea kusonga mbele wa siku zote nikampiga chini nafasi yake ikachukuliwa na mpambe wake.
Kaizer kumbe na wewe upo kwenye fani eeehh....mademu wa kibongo wanakunywa sana beer badilisha upepo!
Kwa nini tusiadapt utaratibu wa kuwa kama tukiitana baa kila mtu analipia alichotumia ili kukata mzizi wa fitna. kwa hiyo inakuwa Lipa Kadiri Ulivotumia (LIKAU)
haa ni wewe mr wangu? hujanitendea haki!
ASEEE, UMEIKUMBUSHA MBALI SANA, nimeona nibadilishae na Avatar yangu kwa muda!
Kweli hiyo ni style nzuri sana. Mnaenda bar lakini hakuna anaenyonya wala kunyonywa. Kwanini ulipiwe na mwingine wakati starehe ni yako bana? Huko nje wenzetu hawafanyi kama hapa bongo. Ni ushamba kumlipia mtu ambae kenda bar kwa hiari yake mwenyewe. Starehe gharama bana!