Sijawai kuwa Askari ila naona kuna matumizi yasiyo sahihi ya nguvu na risasi kwa wahalifu au watuhumiwa.
Kwa kisa hiki kilichomsababishia majeraha makubwa binti wa miaka 16 kwa kupigwa risasi na askari utaona kabisa hapa kuna kitu hakijakaa sawa.
Risasi zinazopigwa hovyo hovyo zimegharimu maisha ya watu wasio na hatia.
Tuendelee kuelimishana na kuwajibishana ipasavyo ili makosa kama haya yasijirudie.
Kwa kisa hiki kilichomsababishia majeraha makubwa binti wa miaka 16 kwa kupigwa risasi na askari utaona kabisa hapa kuna kitu hakijakaa sawa.
Risasi zinazopigwa hovyo hovyo zimegharimu maisha ya watu wasio na hatia.
Tuendelee kuelimishana na kuwajibishana ipasavyo ili makosa kama haya yasijirudie.