GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Baraza la mpito la Libya limegungua kaburi la pamoja ambalo wamezikwa watu wapatao 1200 ambapo limetangaza litatumia vipimo vya kutambua vinasaba (DNA) ili kujua ndugu wa wafu hao. Ilipotokea ajali ya MV spice landers zanzibar, Rais JK aliwaomba wataalam watumie DNA ili kutambua maiti za wale ambao waliozikwa na serikali ili kujua ndugu zao. Lakini cha kushangaza , watu humu JF walikuja juu na kumshambulia Rais kuwa alikuwa hajui asemalo. Hii yaonyesha kabisa, kumbe GT wa humu JF ndio hawajui wasemalo na kuandika vitu kwa ushabiki badala hali halisi.