....Ina maana. TCRS na Serikali imeshindwa kabisa kuwabana hawa Jamaa kwenda na. Sheria za Nchi kwamba Channel za ndani kupatikana bure kwenye Ving'amuzi vyao??Hawa dstv wanaminya channel za ndani
Utakuwa kada weweTanzania Safari Channel
Yah mkuu Mimi ni kada mtiifu.Utakuwa kada wewe
DStv...
CNN ch401
BBC Brit ch120
BBC lifestyle ch174
Etv ch250
NatGeo ch181
ESPN 218/9
SS ch220/223/224.....
Trace ch323
Movies ch112
Naangalia scanal na rhythm city na mimi sikosi.Umetaja ch250 hapo Etv nikaikumbuka tamthiliya murua ya Scandal, Wasouth bhana wako vizuri! Mimi huwa siikosi weekdays ikifika 2:30 usiku tyr nipo home kuwacheki akina Dintle
NaamLabda nikupe access ya DStv Now
Ewtn iko dstv mkuuTV zote bongo hakuna yenye channel ya KIKATOLIKI iwe ya ndani ama ya nje ijapokuwa kuna channel kibao za nje za kikatoliki ambazo ni free on air kama EWTN
Cbs reality dstv chanel no.132kipo channel gani?
Zuku ni Kampuni ya Kenya.Maisha magic East
Channels zote za michezo kwenye DSTv.
Azam Sports HD nitaangalia mechi za watani wa jadi.
Nje ya mada ZUKU ni kampuni ya nchi gani? Coz wanapenda kurusha muvi za Nigeria 🤣
Animation lover !Chanel; Nickelodeon
Kipindi; Spongebob
Wachache sana wantuelewa me na SquidwardAnimation lover !