darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,718
- 16,932
Kawaida tu mkuu, baadhi yao zinaonyesha muvi na cartoons. Ila ingependeza na sisi televisions zetu (TZ Mux) zingehamia kwenye hii satellite kwani inapatikana kirahisi ukilinganisha na 46° eastHivi Mkuu hizi chanali za kisomali zina maajabu ili na mimi niziset?