Pennsylvania
JF-Expert Member
- Sep 25, 2019
- 335
- 498
Wakuu habari zenu!
Sina nia ya kutambishiana wala kuleta majivuni, HAPANA!
Ningependa kufahamu kwa uzoefu wenu hususani mambo ya fani ya sheria.
Je, ikatokea umepata LLB kwenye Chuo cha UDOM na Tumaini(Dar), Ungeenda wapi? Na ni sababu gani ungeangalia kufanya maamuzi?
Natumai mtanipa ujuzi mzuri
Karibuni!
Sina nia ya kutambishiana wala kuleta majivuni, HAPANA!
Ningependa kufahamu kwa uzoefu wenu hususani mambo ya fani ya sheria.
Je, ikatokea umepata LLB kwenye Chuo cha UDOM na Tumaini(Dar), Ungeenda wapi? Na ni sababu gani ungeangalia kufanya maamuzi?
Natumai mtanipa ujuzi mzuri
Karibuni!