Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,748
Hello Marafiki,
Mimi ndio nataka kununua kiwanja kwa mara ya kwanza, ningependa kujua ni processes gani nazopaswa kufuata ili kukamilisha manunuzi hadi umiliki unaotambulika kisheria.
Na pia ni mambo gani nayopaswa kuzingatia kabla na baada ya kununua kiwanja.
Mimi ndio nataka kununua kiwanja kwa mara ya kwanza, ningependa kujua ni processes gani nazopaswa kufuata ili kukamilisha manunuzi hadi umiliki unaotambulika kisheria.
Na pia ni mambo gani nayopaswa kuzingatia kabla na baada ya kununua kiwanja.