Kasanzu The Great
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 309
- 226
Nyalandu au mwigulu? Maaana Daaa!
Nyalandu au mwigulu? Maaana Daaa!
Ingekuwa ni kweli wangewataja majina;
Hii ya kutufanya watabiri inaleta utata mkubwa;
Mwisho tutasema ni majungu.
Mimi namfahamu Katibu jangili
Atakua yule waziri anaesimamia panya,fisi,nyoka,mbwamwitu,kobe nk.
Mods niruhusini nimchane waziri huyu
Ingekuwa ni kweli wangewataja majina;
Hii ya kutufanya watabiri inaleta utata mkubwa;
Mwisho tutasema ni majungu.
Gazeti la leo la Raia mwema wamesema kuna waziri ndie kiongozi wa ujangili na ana mtandao wake wa kuuza meno ya tembo...........kuna anaejua huyo waziri ni nani humu tumjue? binafsi naona hii ni serious ishu...
Naomba mrejee kauli ya Kikwete,alisema list ya majangiri anayo na anawajua hadi idadi yake,huenda Waziri nae anajulikana na bosi!!
List ya wauza unga Mkuu anayo na anawajua ila tangu aseme hadi leo nini kimejili??!!
Biashara kharamu haifanyiki kwa ufanisi bila ya watendaji wa serikali kuhusika ama kwa wao binfsi kuifanya au kuibia ubia kwa kuibariki na kuiwekea mgongo!!
Twiga na wanyama waliobebwa pale na ndege pale airport na kukaribishwa "welcome on board" kwenye dege la kijeshi kuubwa utazani wanyama wanapasport na waviza waendapo nani alishitakiwa??!!
Wanyama wale wanajulikana walipelekwa Qatar kwa ndege ya jeshi,mtasema Waziri wa ulinzi hakufahamu ikiwa dege lile lilikaa wiki pale KIA??!! Kama Waziri wa ulinzi alifahamu je na raisi ambae ni amiri jeshi Mkuu??!!
Kama Twiga hao na wanyama wengine waliibwa kupelekwa Qatar mbona hawarudishwi au kufuatwa na serikali??!!
Tanzania umaskini utazidi,wezi watazidi kuneemeka huku uchumi na mali za asili vikiteketea kwa urafi wa wachache wasioshiba wala kuridhika na wanakula hadi na miguu!!!
Inaudhi sana hii kitu, kama wana ushahidi kiasi hiki kwanini wasianike kila kitu hadharani? Raia Mwema najua baadhi yenu mnapita huku badilikeni katika uandishi wenu ili mkiamua kuandika habari ya ufisadi/ujangili au rushwa basi muweke kila kitu hadharani.
Gazeti la leo la Raia mwema wamesema kuna waziri ndie kiongozi wa ujangili na ana mtandao wake wa kuuza meno ya tembo...........kuna anaejua huyo waziri ni nani humu tumjue? binafsi naona hii ni serious ishu...
BAK inamaana huajamjua anaezungumziwa?Gazeti limejaribu kufunua kila kitu kwa uwezo wake,tatizo bano wanabanwa na sheria tata ya mageti.Hapo inabidi tulishukuru gazeti hili,kama ni uchunguzi wamesaidia kwa 75% kinachobaki ni kuunganisha dots tu