King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,841
- 5,354
Amani iwe nanyi..
Kuna baadhi ya vitabia ambavyo wanaume wengi wamekuwa wakivifanya pasi na kujua kwamba unawapunguzia urijali wao.
Unajua kuna baadhi ya vitu ukiwa navyo kama mwanaume ni kheri kwako na hivyohvyo vitu akiwanavyo mwanamke ni shari kwake,mfano mwanaume kuwa na ndevu ni jambo zuri na linamuongezea urijali tofauti na mwanamke kuwa na NDEVU ni jambo ambalo halipendezi kwake na linampunguzia thamani kama mwanamke japo ni mipango ya Mungu ktk uumbaji wake.
Natakakuzungumzia nyinyi madume wezangu wenye mianya na dimpozi pale mnapotaka kuonesha urembo wenu kupitia hivyo vitu (mwanya na dimpozi) either kwa kupost ktk mitandao una kenua kinywa chako ili tu tuone mwanya wako au dimpozi zako jua kwamba hivyo vitu si ktk vitu vinavyomuuongezee urijali mwanaume bali hvyo vtu akiwa navyo mwanamke kwake ni kheri kubwa coz vinamuongezea urembo Mara dufu.
Kuna baadhi ya vitu ukiwa navyo unaweza ukajiita kweli ww rijali mbele za watu mfano, mwanaume kuwa na pesa,kuwa na ndevu,ukakamavu,kutokuwa na haibu za kijinga,kuyumbishwa,pia mwanaume rijali atakiwi kuwa mchoyo na mmbea na n.k
Dimpozi na mwanya ni sehemu ya urembo kwa wanwke...
Kuna baadhi ya vitabia ambavyo wanaume wengi wamekuwa wakivifanya pasi na kujua kwamba unawapunguzia urijali wao.
Unajua kuna baadhi ya vitu ukiwa navyo kama mwanaume ni kheri kwako na hivyohvyo vitu akiwanavyo mwanamke ni shari kwake,mfano mwanaume kuwa na ndevu ni jambo zuri na linamuongezea urijali tofauti na mwanamke kuwa na NDEVU ni jambo ambalo halipendezi kwake na linampunguzia thamani kama mwanamke japo ni mipango ya Mungu ktk uumbaji wake.
Natakakuzungumzia nyinyi madume wezangu wenye mianya na dimpozi pale mnapotaka kuonesha urembo wenu kupitia hivyo vitu (mwanya na dimpozi) either kwa kupost ktk mitandao una kenua kinywa chako ili tu tuone mwanya wako au dimpozi zako jua kwamba hivyo vitu si ktk vitu vinavyomuuongezee urijali mwanaume bali hvyo vtu akiwa navyo mwanamke kwake ni kheri kubwa coz vinamuongezea urembo Mara dufu.
Kuna baadhi ya vitu ukiwa navyo unaweza ukajiita kweli ww rijali mbele za watu mfano, mwanaume kuwa na pesa,kuwa na ndevu,ukakamavu,kutokuwa na haibu za kijinga,kuyumbishwa,pia mwanaume rijali atakiwi kuwa mchoyo na mmbea na n.k
Dimpozi na mwanya ni sehemu ya urembo kwa wanwke...