mchonjoya
Member
- Aug 17, 2016
- 80
- 198
Habari wanaJF
Kila mtu anajua pesa ilivyo ngumu kupatikana, hivyo kila mtu anakuwa makini na matumizi ya pesa yake.
Pamoja na ukata tulio nao, bado ndani ya mioyo yetu kumejaa huruma na kamwe huwezi kumuacha ndugu yako, jirani yako hata mpita njia akiwa anateseka kwa kukosa Tshs 100/=ya kununua andazi au nauli ya daradara ukamyima ukiwa kweli unayo. Roho hiyo wa Watanzania hatuna.
Sasa ni bora usaidie ukiwa roho inatambua kuliko kumkopesha mwanamke pesa. Najua sio wote ila wengi wao ukimkopesha pesa yako jua umeumia.
Mambo matatu yatakutokea
1) Hutoweza kumdai kwa nguvu
2) Chochote atakachokuambia hutabisha
3) Mwisho utasamehe
Namalizia kwa kusema MWANAUME NI DHAIFU MBELE YA MWANAMKE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu anajua pesa ilivyo ngumu kupatikana, hivyo kila mtu anakuwa makini na matumizi ya pesa yake.
Pamoja na ukata tulio nao, bado ndani ya mioyo yetu kumejaa huruma na kamwe huwezi kumuacha ndugu yako, jirani yako hata mpita njia akiwa anateseka kwa kukosa Tshs 100/=ya kununua andazi au nauli ya daradara ukamyima ukiwa kweli unayo. Roho hiyo wa Watanzania hatuna.
Sasa ni bora usaidie ukiwa roho inatambua kuliko kumkopesha mwanamke pesa. Najua sio wote ila wengi wao ukimkopesha pesa yako jua umeumia.
Mambo matatu yatakutokea
1) Hutoweza kumdai kwa nguvu
2) Chochote atakachokuambia hutabisha
3) Mwisho utasamehe
Namalizia kwa kusema MWANAUME NI DHAIFU MBELE YA MWANAMKE.
Sent using Jamii Forums mobile app