K Koryo2 JF-Expert Member Nov 28, 2016 2,056 2,515 Aug 30, 2018 #41 Anakuambia nikopeshe millioni moja nitarudishia baada ya mwezi. Kweli atarudisha au utakufa na tai shingoni.
Anakuambia nikopeshe millioni moja nitarudishia baada ya mwezi. Kweli atarudisha au utakufa na tai shingoni.
theriogenology JF-Expert Member Oct 7, 2016 8,750 15,642 Aug 30, 2018 #42 Mimi na kawaida moja.... Nikiona anazingua kulipa atailipa kwa kutoa papuchi na mwisho wa siku huwa wanatoa.... Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi na kawaida moja.... Nikiona anazingua kulipa atailipa kwa kutoa papuchi na mwisho wa siku huwa wanatoa.... Sent using Jamii Forums mobile app
Mzigua90 JF-Expert Member Sep 23, 2014 38,255 88,201 Aug 30, 2018 #43 Inategemea na uhusiano wenu. Kama hamna uhusiano wowote lazima mtu alipe bwana. Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na uhusiano wenu. Kama hamna uhusiano wowote lazima mtu alipe bwana. Sent using Jamii Forums mobile app
miminimkulimaakachekasana JF-Expert Member May 29, 2017 3,263 4,709 Nov 28, 2020 #44 FRESHMAN said: hata wanaume pia hatulipi.. Click to expand... masela wameniangusha sana mwaka 2020,ngoja nihamie upande wa pili
FRESHMAN said: hata wanaume pia hatulipi.. Click to expand... masela wameniangusha sana mwaka 2020,ngoja nihamie upande wa pili
miminimkulimaakachekasana JF-Expert Member May 29, 2017 3,263 4,709 Nov 28, 2020 #45 Kim Jong Jr said: Kuna imbwa moja nimeikopesha hela zangu ni mwezi wa 5 sasa kalenda haziishi Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... mkuu vipi ilirudi?
Kim Jong Jr said: Kuna imbwa moja nimeikopesha hela zangu ni mwezi wa 5 sasa kalenda haziishi Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... mkuu vipi ilirudi?