Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Kwa nini mtu usig'atuke na kupisha watu wenye nia thabiti ya kuwakomboa Watanzania?
Tozo, ufisadi, umeme kukatika hovyo na wizi wa mali za umma iiuweze kudhibitiwa unahitaji viongozi wenye nia thabiti na madhubuti.
Sio matapeli wa kisiasa kwenye karne kama hii. Wanaodhani siasa ni ulaghai ili kulinda matumbo yao.
Tozo, ufisadi, umeme kukatika hovyo na wizi wa mali za umma iiuweze kudhibitiwa unahitaji viongozi wenye nia thabiti na madhubuti.
Sio matapeli wa kisiasa kwenye karne kama hii. Wanaodhani siasa ni ulaghai ili kulinda matumbo yao.