Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Ili uweze kuwa na taifa thabiti na madhubuti lazima kuwa na viongozi wazalendo na wenye machungu na taifa lao.
Viongozi ambao watapinga ufisadi wa kila aina na kuhakikisha maendeleo yanapatikana.
Viongozi ambao watazuia ushoga ili kulinda maadili ya taifa lao.
Viongozi ambao watazuia wavuta bangi na madawa ya kulevya ili kujenga taifa imara.
Leo hii kuwaundermine na kuwatishia uhai viongozi wa namna hii ni kukatisha tamaa viongozi wengine ambao wako radhi kujitoa kwa taifa lao.
Viongozi ambao watapinga ufisadi wa kila aina na kuhakikisha maendeleo yanapatikana.
Viongozi ambao watazuia ushoga ili kulinda maadili ya taifa lao.
Viongozi ambao watazuia wavuta bangi na madawa ya kulevya ili kujenga taifa imara.
Leo hii kuwaundermine na kuwatishia uhai viongozi wa namna hii ni kukatisha tamaa viongozi wengine ambao wako radhi kujitoa kwa taifa lao.