Nina jamaa yangu ambaye sera yake ni kufanya mapenzi na housegirl wake. Hoja yake ni kuwa house girl ni spare tyre zuri. Halafu anapata munkari kuona anamwibia mkewe mle mle ndani ya nyumba na wife hajui. Hiyo anasema inampa raha sana. Nini maoni yenu. Je kitendo hiki ni kizuri kwa ndoa yake?