Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,277
- 6,439
Mkuu unatoa majibu ya jumla jumla.Hicho hata mimi naweza kukitengeneza, ni ujanja ujanja tu wa kuunganisha matukio.
Hapo zitakuja zile stori za jua kuzama kwenye matope alizosimulia Mtume au zile za kuwatumia wadudu kupigana vita!!!
Walioleta dini walisababisha bongo zetu kudumaa!
Sent using Jamii Forums mobile app