Ni hakika, Adam na Eva si binadamu halisi wa kwanza!

Chief naona unataka facts huku wewe hujatoa facts. Hivi vituko nimezoea kuviona humu jf pekee.

Jaribu kumuuliza huyo Rabi au waulize wenye msimamo huo ya kuwa ilikuwaje hao binadamu wa kiume wakaitwa Adamu na wakike wakaitwa Eva ?

Je wa mwanzo wanzo hao binadamu alipatikanaje ?

Hili sasa ni swali la msingi,wewe umejuje kama haya uyasemayo wewe ndio ukweli ?
Naomba usome last sentence ya my post!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari!
Katika masimulizi ya Biblia tunaona kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa na Mungu ni Adamu na Eva. Tena tunaambiwa kuwa, hawa ndio wazazi halisi wa binadamu wote duniani. Quraan nayo kwa upande wa waislamu ikaja na masimulizi kama hayo baada ya kukopi elimu hii toka kwa Biblia japo ilibadili mlengo wa baadhi ya masimulizi hayo (NB Quraan iliandikwa toka masimulizi ya Biblia, vitabu vya dini ya kiyahudi ndipo wakaja na elimu za kutawadha, adhanaa nk, vitabu vya washirikina ndipo walipoitoa elimu ya majini na mapepo na pia masimulizi ya Mtume).

Habari hii ya Adamu na Eva si hadithi ya kweli, bali lugha ya picha. Rabi mmoja anadhihirisha kuwa Dunia ilikuwa na binadamu wengine ambao wa kiume waliitwa Adamu na wanawake wengine waliitwa Eva. Ushahidi wa rangi tofauti na races tofauti ni kidhibitisho tosha kuwa si binadamu wote tuna mzazi mmoja. Mfano mzungu na mzungu kamwe hawatazaa mwafrica na wala mwafrika na mwafrica hawatazaa mchina. Je, nini kilitokea kwa Adam na Eva hata wakazaa mhindi au mtamil au mwafrica???

Vitabu vya dini kubwa mfano za kihindu, kibudha au kichina zina masimulizi tofauti ya asili ya binadamu. Vile vile, sayansi bado inatafuta asili halisi ya binadamu.

Vitabu vya dini vimetumia masimulizi ya mkato, yasiyotoa uhakika na yasiyotaka kuhojiwa juu ya asili ya uhai na ukihoji utaishia kuambiwa unakufuru!!!

Kwa mantiki hiyo, masimulizi na visa vya asili ya binadamu ni hadithi za kutunga na kuaminisha umma. Kumbuka anayeqdhaniwa kuwa mwandishi mwandishi wa kitabu cha Genesis ni Moses ambaye alipata elimu yake pale Misri kwenye kasri la Farao! Tukumbuke kuwa tayari waisrael walikuwa wamekwisha kuishi miaka zaidi ya 400 Misri.

Je, nani alimpa elimu au simulizi la uumbaji Moses???


"...Waliandika kitu ambacho walipenda tukisome tu, mengine walificha kwa malengo yao"


Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta kitabu
SAYANSI NDANI YA QURAN au

GEOGRAPHY AND BIOLOGY IN THE QURAN

majibu utayapata ingia play store utavipata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhani hili sio jibu.ulikuwa unamengi yakudadavua kwenye swali Hilo la mdau.
 
Habari!
Katika masimulizi ya Biblia tunaona kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa na Mungu ni Adamu na Eva. Tena tunaambiwa kuwa, hawa ndio wazazi halisi wa binadamu wote duniani. Quraan nayo kwa upande wa waislamu ikaja na masimulizi kama hayo baada ya kukopi elimu hii toka kwa Biblia japo ilibadili mlengo wa baadhi ya masimulizi hayo (NB Quraan iliandikwa toka masimulizi ya Biblia, vitabu vya dini ya kiyahudi ndipo wakaja na elimu za kutawadha, adhanaa nk, vitabu vya washirikina ndipo walipoitoa elimu ya majini na mapepo na pia masimulizi ya Mtume).

Habari hii ya Adamu na Eva si hadithi ya kweli, bali lugha ya picha. Rabi mmoja anadhihirisha kuwa Dunia ilikuwa na binadamu wengine ambao wa kiume waliitwa Adamu na wanawake wengine waliitwa Eva. Ushahidi wa rangi tofauti na races tofauti ni kidhibitisho tosha kuwa si binadamu wote tuna mzazi mmoja. Mfano mzungu na mzungu kamwe hawatazaa mwafrica na wala mwafrika na mwafrica hawatazaa mchina. Je, nini kilitokea kwa Adam na Eva hata wakazaa mhindi au mtamil au mwafrica???

Vitabu vya dini kubwa mfano za kihindu, kibudha au kichina zina masimulizi tofauti ya asili ya binadamu. Vile vile, sayansi bado inatafuta asili halisi ya binadamu.

Vitabu vya dini vimetumia masimulizi ya mkato, yasiyotoa uhakika na yasiyotaka kuhojiwa juu ya asili ya uhai na ukihoji utaishia kuambiwa unakufuru!!!

Kwa mantiki hiyo, masimulizi na visa vya asili ya binadamu ni hadithi za kutunga na kuaminisha umma. Kumbuka anayeqdhaniwa kuwa mwandishi mwandishi wa kitabu cha Genesis ni Moses ambaye alipata elimu yake pale Misri kwenye kasri la Farao! Tukumbuke kuwa tayari waisrael walikuwa wamekwisha kuishi miaka zaidi ya 400 Misri.

Je, nani alimpa elimu au simulizi la uumbaji Moses???


"...Waliandika kitu ambacho walipenda tukisome tu, mengine walificha kwa malengo yao"


Sent using Jamii Forums mobile app


WATU wengi husema kwamba simulizi la Mwanzo kuhusu Adamu na Hawa ni hadithi nzuri tu.
Wasomi wengi wanakubaliana na wazo hilo. Wanasema kwamba masimulizi mengi yanayotajwa katika kitabu cha Mwanzo hayapatani na historia au sayansi.

Ngoja tuchunguze matukio muhimu katika simulizi la uumbaji wa mwanadamu wa kwanza Biblia. Biblia inasema hivi kumhusu Adamu: “Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi ya nchi na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai, naye mtu akawa nafsi hai.” (Mwanzo 2:7 ) Je, maneno hayo yanaweza kuthibitishwa kisayansi?
Kitabu Nanomedicine kinasema kwamba mwili wa mwanadamu umefanyizwa kwa kemikali 41 hivi. Kemikali hizo—kaboni, chuma, oksijeni, na nyingine—zinapatikana katika “mavumbi” ya dunia. Hivyo, kama Mwanzo inavyosema, kwa kweli wanadamu wameumbwa “kutoka katika mavumbi ya nchi.”

Kemikali hizo zisizo na uhai ziliunganaje na kufanyiza mwanadamu aliye hai? Ili kuelewa ugumu wa kufanya hivyo, fikiria chombo cha NASA cha kusafiria angani, mashine tata zaidi ambayo imewahi kubuniwa. Chombo hicho kilichotengenezwa kwa ufundi wa hali ya juu kina sehemu milioni 2.5. Mainjinia walichukua miaka mingi sana kukibuni na kukiunganisha pamoja. Sasa fikiria mwili wa mwanadamu. Umefanyizwa kwa atomu octillion 7 hivi, trilioni 100, viungo vingi sana, na angalau mifumo 9 ya viungo vikubwa. Mashini hiyo tata sana ya kibiolojia iliyoundwa kwa ustadi ilitokeaje? Je, ilijitokeza yenyewe au ilibuniwa na mbunifu stadi?

Ni nini kinachomfanya mwanadamu awe hai? Chanzo cha uhai ni nini? Wanasayansi wanakubali kwamba hawajui. Kwa kweli, hata hawapatani wanapoeleza uhai ni nini. Kwa wale wanaokubali wazo la kwamba kuna Muumba, jibu ni wazi. Bila shaka, Chanzo ni Mungu.

Vipi kuhusu ufafanuzi wa Mwanzo kwamba Hawa aliumbwa kutokana na ubavu wa Adamu? ( Mwanzo 2:21-23 ) Kabla ya kusema kwamba simulizi hilo ni hadithi tu, fikiria mambo hakika yafuatayo: Mnamo Januari (Mwezi wa 1) 2008, wanasayansi huko California, Marekani, walitokeza kwenye maabara kiini-tete cha kwanza cha mwanadamu kutoka kwa chembe za ngozi za mtu mzima. Kwa kutumia mbinu kama hizo wanasayansi wametokeza wanyama 20 hivi. Mnyama anayejulikana zaidi, yule kondoo anayeitwa Dolly, alitokezwa mnamo 1996 kutokana na titi la kondoo aliyekomaa.
Matokeo ya majaribio hayo hayajulikani. Lakini tunajifunza kwamba, ikiwa wanadamu wanaweza kutumia chembe kutoka katika kiumbe kimoja na kutokeza kiumbe kingine cha aina hiyohiyo, je, Muumba mweza yote hangeweza kutokeza mwanadamu kutokana na kiungo cha mwanadamu mwingine? Jambo la kupendeza ni kwamba mara kwa mara madaktari wa upasuaji hutumia ubavu ili kuunganisha tena mifupa iliyovunjika kwa sababu ubavu una uwezo wa kukua upya na kujirekebisha.
 
Tafuta kitabu
SAYANSI NDANI YA QURAN au

GEOGRAPHY AND BIOLOGY IN THE QURAN

majibu utayapata ingia play store utavipata

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho hata mimi naweza kukitengeneza, ni ujanja ujanja tu wa kuunganisha matukio.

Hapo zitakuja zile stori za jua kuzama kwenye matope alizosimulia Mtume au zile za kuwatumia wadudu kupigana vita!!!

Walioleta dini walisababisha bongo zetu kudumaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta kitabu
SAYANSI NDANI YA QURAN au

GEOGRAPHY AND BIOLOGY IN THE QURAN

majibu utayapata ingia play store utavipata

Sent using Jamii Forums mobile app
Vile vile kumbuka watunzi wa Quran walikuwa wasomi wazuri na wajanja so, walichanganya elimu mbali mbali na kuzalisha Quran!

Sasa, Albert Eisten au Faraday akuandikie kitabu utegemee asiweke issues za kisayansi? Mf ukisoma vitabu vyote vya Ben Carson, lazima ukute issues za afya kwa sababu yeye ni Professor wa kada ya utabibu, same to hao watunzi wa Quran!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vile vile kumbuka watunzi wa Quran walikuwa wasomi wazuri na wajanja so, walichanganya elimu mbali mbali na kuzalisha Quran!

Sasa, Albert Eisten au Faraday akuandikie kitabu utegemee asiweke issues za kisayansi? Mf ukisoma vitabu vyote vya Ben Carson, lazima ukute issues za afya kwa sababu yeye ni Professor wa kada ya utabibu, same to hao watunzi wa Quran!

Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie basi watunge Quran nyingine au hao wasomi wajanja wameisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vile vile kumbuka watunzi wa Quran walikuwa wasomi wazuri na wajanja so, walichanganya elimu mbali mbali na kuzalisha Quran!

Sasa, Albert Eisten au Faraday akuandikie kitabu utegemee asiweke issues za kisayansi? Mf ukisoma vitabu vyote vya Ben Carson, lazima ukute issues za afya kwa sababu yeye ni Professor wa kada ya utabibu, same to hao watunzi wa Quran!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka Quran imeyaeleza hayo tokea karine ya 6 wanasayansi wa kidunia waliyagundua hayo karine ya 19
Screenshot_20190126-211318.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu....1 different races tunaambiwa Ni mabadiliko kulingana na mazingira.
Kama tunavyoamini kwenye history.....
Nyani to man.

2.. Musa aliandika vitabu vyake kwa uwezo Wa Mungu....haikiwa akili yake
Aaaagh wewe peke yako ndo ulitokana na Nyani mimi sijatokana na Nyani!
 
Gunduzi zote za maana ambazo zinatumika hadi Leo duniani wanasayansi waligundua kuanzia karine ya 15

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema karne hiyo ndo proper documentation ndo ilikuwa at high, sio kuwa gunduzi zilitokea! Kumbuka Al kaaba tu lilikuwepo hata kabla ya uislam but bado linatumika hadi leo. Warumi ndo walikuwa best kwa documentation na utawala wao wa zaidi ya miaka 400 duniani ndo una lot of systems zinazotumika mpk sasa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom