Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Hii ni kwasababu:
Mbeya City ni moja ya timu inayotoa upinzani, hivyo matokeo ya mechi baina ya hii timu na timu zingine zinazofukuzia ubingwa, ni matokeo decisive katika kuja kutoa bingwa.
Kwa maneno mengine, timu vigogo(Simba, Yanga na Azam) ni lazima zihakikishe zinaishinda ama kutoka sare na hii timu na siyo kufungwa.
Yaani tuna timu nyingi lakini zisizotoa upinzani kwa vigogo wa ligi, hivyo mechi baina ya timu hizi na vigogo wa ligi sio decisive kama ilivyo baina ya timu vigogo na hii Mbeya City.
Kwa lugha nyingine, kwasababu timu zingine ni kama wasindikizaji, timu inayoweza kuamua nani awe bingwa ni ile inayotoa upinzani kwa vigogo wa ligi kama hii Mbeya City ingawa mechi bado ni nyingi.
Kwahiyo, matokeo ya mechi za nyumbani na ugenini baina ya vigogo wa soka na Mbeya City, ndio yatakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuamua kigogo yupi achukue kombe.
Simba akishindwa kuwafunga katika mechi ya marudiano huku Yanga akishinda, basi Yanga atakuwa na nafasi kubwa ya kuwa bingwa unless round ya pili timu zingine zitaacha kuwa wasindikizaji jambo ambalo naona ni gumu kutokea.
Mbeya City ni moja ya timu inayotoa upinzani, hivyo matokeo ya mechi baina ya hii timu na timu zingine zinazofukuzia ubingwa, ni matokeo decisive katika kuja kutoa bingwa.
Kwa maneno mengine, timu vigogo(Simba, Yanga na Azam) ni lazima zihakikishe zinaishinda ama kutoka sare na hii timu na siyo kufungwa.
Yaani tuna timu nyingi lakini zisizotoa upinzani kwa vigogo wa ligi, hivyo mechi baina ya timu hizi na vigogo wa ligi sio decisive kama ilivyo baina ya timu vigogo na hii Mbeya City.
Kwa lugha nyingine, kwasababu timu zingine ni kama wasindikizaji, timu inayoweza kuamua nani awe bingwa ni ile inayotoa upinzani kwa vigogo wa ligi kama hii Mbeya City ingawa mechi bado ni nyingi.
Kwahiyo, matokeo ya mechi za nyumbani na ugenini baina ya vigogo wa soka na Mbeya City, ndio yatakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuamua kigogo yupi achukue kombe.
Simba akishindwa kuwafunga katika mechi ya marudiano huku Yanga akishinda, basi Yanga atakuwa na nafasi kubwa ya kuwa bingwa unless round ya pili timu zingine zitaacha kuwa wasindikizaji jambo ambalo naona ni gumu kutokea.