Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Unaweza hata kushare tangazo la yeye kuwa promoted kuwa Associate Professor. Nakumbuka pale Mlimani (kama alirudi Mlimani) uwa wanatoa matangazo ya promotion kwenye notice board.Alipojiuzuru kutoka baraza la mitihani akiwa Dr (PhD) alirudi chuo kiku kufundisha ambako kwa jitihada zake kitaaluma alipanda daraja hadi kuwa Professor (Prof). Kwa hiyo alipoteuliwa kuwa Waziri juzi tayari alishakuwa Prof.
Nimeona pia kwamba alirudishwa Mlimani mwaka juzi (Agosti 2014). Nimejaribu ku-google scholar, nimeona ana andiko moja tu (mwaka 2015) na mawili ya hivi karibuni (2012 na 2013). Sasa kwa ninavyokumbuka, idadi hiyo ni ndogo sana kupata promotion ya kutoka Senior Lecturer kwenda kuwa Associate Professor.