Ni Dr au ni Prof. Joyce Ndalichako?

Ni Dr au ni Prof. Joyce Ndalichako?

Of course siyo issue kwenye vyuo vya kibongo, ambapo promotion criteria are jokes. Yaani vigezo vya promotion kwenye vyuo vya Tanzania ni vituko katika standard za kimataifa.

Lengo la maswali yangu ni kupenda kufahamu. Ndiyo maana nauliza. Nimeuliza alikuwa promoted lini na wapi: umesema UDSM, hujasema lini. Lakini kuna mtu anasema Ndalichako hakurudi UDSM baada ya kutoka NECTA. Sasa lipi ni lipi!

Hili la watu kuwa professors bila vigezo unavyovikubali, lisikupe taabu maana kila nchi ina mambo yake. Kwa US ndo utasema ni bure kabisa lakini haimaanishi kwamba academically wako hovyo. Hizi ni titles kwa wanaohusika. waache walivyo achana na glory za wengine tunaodhani wana maana sana!

Mbona Bongo tuna ikulu sawa na amerika, sawa na # 10 downing street? Kwa udhaifu wa marais wetu ndo tuikatae ikulu ya magogoni na kusema ni jokes?
 
Alipojiuzuru kutoka baraza la mitihani akiwa Dr (PhD), Joyce Ndalichako alienda kujiunga na Aga Khan University ambako alipandishwa cheo kitaaluma na kuwa Associate Professor wa Educational Evaluation and Measurement. Kwa hiyo alipoteuliwa kuwa Waziri juzi ametokea Aga Khan Univesity na tayari alishakuwa Associate Professor.

tunashukuru kwa ufafanuz mzur
 
Sasa ulivyosema kawa promoted UDSM ulikuwa una bahatisha ama?
Kama promotion yenyewe ni ya Aga Khan wala sina haja ya kuendelea kujadili tena; maana huko, kama kulivyo kwenye private universities za Tanzania, vigezo vya promotion ni vibovu kuliko vya UDSM.

UDSM hakuna hata vigezo. Ni kukomoana tuu na zile sifa za kijinga kwamba eti ni chuo kikongwe/kizee. Kweli kimezeeka. kiongozi wao kawa kama headmaster, kakifanya kimekuwa kama sekondari kabisa!! waalimu hata hawajitambui kuuliza haki zao wakiogopa kufukuzwa kazi.

btw. VC alishastaafu miaka mingi lakini ndiye anaongoza na kuwapangia promotion! Rubbish!
 
Back
Top Bottom