Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Is this all you got?Mkuu
Una wivu wa Kike
Is this all you got?Mkuu
Una wivu wa Kike
YeahIs this all you got?
I thought so...Yeah
Of course siyo issue kwenye vyuo vya kibongo, ambapo promotion criteria are jokes. Yaani vigezo vya promotion kwenye vyuo vya Tanzania ni vituko katika standard za kimataifa.
Lengo la maswali yangu ni kupenda kufahamu. Ndiyo maana nauliza. Nimeuliza alikuwa promoted lini na wapi: umesema UDSM, hujasema lini. Lakini kuna mtu anasema Ndalichako hakurudi UDSM baada ya kutoka NECTA. Sasa lipi ni lipi!
Alipojiuzuru kutoka baraza la mitihani akiwa Dr (PhD), Joyce Ndalichako alienda kujiunga na Aga Khan University ambako alipandishwa cheo kitaaluma na kuwa Associate Professor wa Educational Evaluation and Measurement. Kwa hiyo alipoteuliwa kuwa Waziri juzi ametokea Aga Khan Univesity na tayari alishakuwa Associate Professor.
Sasa ulivyosema kawa promoted UDSM ulikuwa una bahatisha ama?
Kama promotion yenyewe ni ya Aga Khan wala sina haja ya kuendelea kujadili tena; maana huko, kama kulivyo kwenye private universities za Tanzania, vigezo vya promotion ni vibovu kuliko vya UDSM.
una uhakika mkuu??? Ni professor.Ni dokta sio profesa
Chuo hicho kipo Tanzania? Na ni cha serikali ama binafsi? Mh! Nina mashaka na huo 'uprofesa' wake.