RingaRinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,052
- 529
Nimeona kwenye taarifa ya habari Chanel 10,
Huyu mama amepanda daraja au ni makosa ya uandishi?
Huyu mama amepanda daraja au ni makosa ya uandishi?
Nafikiri ni Dr. Ndalichako.
Nafikiri ni Dr. Ndalichako.
Mleta mada ulizoea vitu feki kutoka China eeh?eti Prof. Kikwete.....Nimeona kwenye taarifa ya habari Chanel 10,
Huyu mama amepanda daraja au ni makosa ya uandishi?
wako sahihi ila binafsi sipendi kumtaja mtu kwa cheo chake kielimu...ina ashiria inferiority Fulani!!Nimeona kwenye taarifa ya habari Chanel 10,
Huyu mama amepanda daraja au ni makosa ya uandishi?
Hata hivyo duniani abbreviation ya Professor sio PrN pr Ndalichako
Ni nini kweli? (tuelimishe)Hata hivyo duniani abbreviation ya Professor sio Pr
Amekuwaje Profesa ilhali amekuwa akifanya kazi nje ya Chuo Kikuu?Ameshakuwa Profesa
AsanteAlipojiuzuru kutoka baraza la mitihani akiwa Dr (PhD) alirudi chuo kiku kufundisha ambako kwa jitihada zake kitaaluma alipanda daraja hadi kuwa Professor (Prof). Kwa hiyo alipoteuliwa kuwa Waziri juzi tayari alishakuwa Prof.
Ndalichako kabla hajaondolewa NECTA October 2013 alichukua sabbatical leave but hakurudi UDSM kuna chuo alienda (sikumbuki) akawa boss akapata na Uprofessor ndio juzi ameteuliwa kuwa waziriAmekuwaje Profesa ilhali amekuwa akifanya kazi nje ya Chuo Kikuu?