Ni dakika 5 za Lowassa

Ni dakika 5 za Lowassa

Maskini Ma ccm slaa zote zime fail mwaka huu.

Achilia mbali Lowasa kuumwa au mzima. Sisi wananchi tulishasema mwaka huu hata Ukawa wangesimamisha jiwe tunalipa tu kura.

Hatuchagui tena wezi mwaka huu fungeni vilago.
 
Pamoja na hoja zako nzuri lakini pia Lowasa ni mgonjwa sana najua kiundani kabisa kuhusu ugonjwa wake.

Hongera fistlady, unajua kiundani ugonjwa wa mzee, sasa wewe na huyo mtoa post akili zenu hazina akili, awe anaumwa, haumwi tutampigia kura za kumwaga, piiiiiipoooozzz..!!
 
Chamsingi ni unasema nini katika dakika za kuhutubia, unaweza ukatumia dakika 2 watu wakakuelewa unachomaanisha, lakini vile vile unaweza kutumia saa1 kuhutubia watu wasikuelewe unachomaanisha na wakatoka wamechanganyikiwa kwa hotuba yako. tunataka unachokizungumza kwa muda wowoote kieleweke kwa unaowahutubia sio unaanza kuimbisha nyimbo zisizo na mbele wala nyuma. huu ni wakati wa kazi bwana.
 
Awe mwizi awe fisadi awe anajiharishia ni huyo ndie tutamchagua. Haambiwi kitu mtu hapa kuhusu lowasa. Hata akiwa icu hata amekufa amezikwa kaburin kura tuna mpa maamaee. Lowassa is a major pain in your arssses really. Meekoondoo yenu imefumulliwa vbaya sana
 
Kama tuliweza kuchagua msazi (mwenye kifafa) tutashindwaje kumchagua Lowassa?
 
Wameshasema hata akiwa maiti watamchagua tu. Huko mbele watakuwa wanamshikilia asimame tu kama lisanamu watu wanamuona halafu "Pipozi pawaaaaaaaaaaaaaaa" mkutano kwisha. Haya ni mabadiliko ya aina yake mkuu. Let's wait and see.
Umeambiwa hata maiti atachaguliwa..wewe unawashwa na nini si utulie dawa iingie??
 
Awe mwizi awe fisadi awe anajiharishia ni huyo ndie tutamchagua. Haambiwi kitu mtu hapa kuhusu lowasa. Hata akiwa icu hata amekufa amezikwa kaburin kura tuna mpa maamaee. Lowassa is a major pain in your arssses really. Meekoondoo yenu imefumulliwa vbaya sana

Ccm ni kwamba wapo icu
 
Ila suala la kushabikia bila kutafakari,bali kuishia tu ushabiki ni mateso sana,maana kusema ule ukweli moyoni,lowassa hawawezi,uongozi kabisa na angeweza kushinda kama angelikuwa hashindan na mtu makini kama Magufuli
 
Kama si ulofa ni nini? Utasikia hata uweke jiwe nachagua jiwe na wala siyo ccm. Ni ajabu. Changes is about people. Eti hata likiwa jiwe chadema atapigia jiwe. Then huyu mtu ni lofa. Nafasi ya urais siyo sawa na nafasi ya mwenyekiti wa kijiji bana. Angalia traits za kiongozi bora na siyo chama tu. Mabadiliko siyo chama tu. Ni kiongozi mwenye sifa. Hivi chadema walishawahi hata kutoa sifa za mgombea wao wa urais? Hawalioni hilo eti ngoja atuvushe. No. It is wrong. Tuweke ushabiki pembeni na tutangulize maslahi ya wananchi wote.
 
Kwa akili yako we unaona Magufuli anaeleza sera za chama chake au anaropoka tu. Aliaidi kabla ajateuliwa kuwa ilani ya chama ndo mwongozo wake ila nadhani hajapatiwa ilani maana chochote kinachomjia kichwani anaropoka tu. LOWASA ULIPO TUPO
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake
1442066556983.jpg
Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi

1442066556983.jpg
 
Alafu hawa wanopiga domu humu ni vibaraka wa hapo lumumba ndo kazi waliopewa na wanalipwa posho ila kwa taarifa waniulize mie ambaye nishashiriki baadhi ya shuguli za ccm wakati nikiwa gamba kwa taarifa fupi tuu wanachama wenye kadi zaidi ya 40% hawampendi magufuli wanaenda kwenye mikutano tuu kutimiza wajibu na wooga ila wengi moyoni ni lowasa na ndiye walitegemea atapitishwa, hiki kilichotokea kukata jina lake ni kwa maslahi ya wakubwa tuu ila kwa hawa wa chini wanalalamika mpaka kesho moyoni, ITAWAGARIMU SANA MWAKA HUU, bora mimi nilijitoa mapema

Ukweli utakuweka HURU, hongera sana!
 
Back
Top Bottom