Kama si ulofa ni nini? Utasikia hata uweke jiwe nachagua jiwe na wala siyo ccm. Ni ajabu. Changes is about people. Eti hata likiwa jiwe chadema atapigia jiwe. Then huyu mtu ni lofa. Nafasi ya urais siyo sawa na nafasi ya mwenyekiti wa kijiji bana. Angalia traits za kiongozi bora na siyo chama tu. Mabadiliko siyo chama tu. Ni kiongozi mwenye sifa. Hivi chadema walishawahi hata kutoa sifa za mgombea wao wa urais? Hawalioni hilo eti ngoja atuvushe. No. It is wrong. Tuweke ushabiki pembeni na tutangulize maslahi ya wananchi wote.
Kwa sasa bora kuchagua jiwe, narudia bora jiwe! Magufuli kwa kulijua hilo hatumii tena CCM wala mabango hayataji tena CCM. Watu wamelikinai dubwana CCM! Ni Wanufaika/Beneficiaries pekee(sijui na wachache fuata mkumbo) ndo wataipa kura CCM awamu hii!