Ni dakika 5 za Lowassa

Ni dakika 5 za Lowassa

Kwani Maneno ndo yanayofanya kazi? Lowasa ni mchapakazi na mtu mwenye maamuzi magumu na ndo sifa kubwa anayotakiwa kuwa nayo Rais, hatutaki rais mwenye maneno gunia nzima utendaji ziro, kama unapenda maneno mengi kamsikilize magufuli mzee wa porojo mara cjui sangara zenye mayai ziwa nyasa zipo 4, mara sato wenye sharubu ndefu wamepungua.
 
Eeh kwel mmechanganyikiwa lowasa ni rais na itabaki kuwa ivyoo najua ni ngumu kumesa kwa ccm ila mtameza tu

Chichiemu, Hawatemi, Hawamezi daadadeeki
 
Duh leo nimeami hata ukikutana na shetani atakumbia mabaya ya mungu.
 
swala ni kuiondoa CCM,Lowassa akifanikiwa hilo tu hata atawale nchi siku mmoja-atakuwa shujaa wetu-kazi ni kuiondoa CCM na hilo LOWASSA anaweza, Gwajima ameshasema huwezi zuia wakati na wakati uko na Lowassa
 
Lowasa mapema saa 4 na nusu atakuwa tayari keshaingia ikulu, kama humpend lowasa kalambe malimao!! LOWASSA hoyeeeeeeee!!
 
Pamoja na hoja zako nzuri lakini pia Lowasa ni mgonjwa sana najua kiundani kabisa kuhusu ugonjwa wake.
kweli ccm mmechanganyikiwa,sasa inakuwaje mnafufua hata wafu wawasaidie kupiga kampeni dhidi ya mtu mnaejua Kuwa ni mgonjwa?
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake

Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi

UNANIDANGANYA mwenyewe. Haturudi nyuma lengo ni kuiua CCM mengine mbele Kwa mbele. Haijalishi ataleta maendeleo au laa lakini tutamchagua hivyo hivyo, ni fisadi au si fisadi tutamchagua tu. Na huku kanda ya ziwa ndiyo ngome yake.
 
Tatizo si Lowassa wala Magufuli, Tatizo ni CCM. Lazima waondoke sasa, wameshindwa kila sehemu. Wananyanyasa wastaafu waliojitolea kujenga nchi yao, mafao yao wamepeleka kwenye kampeni na kuhonga wasanii.
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake

Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi

akemee mafisadi akina nani? Hawezi kukemea ufisadi,sawa ufisadi ktk nini au wapi?
 
Back
Top Bottom