Ni dakika 5 za Lowassa

Ni dakika 5 za Lowassa

Wameshasema hata akiwa maiti watamchagua tu. Huko mbele watakuwa wanamshikilia asimame tu kama lisanamu watu wanamuona halafu "Pipozi pawaaaaaaaaaaaaaaa" mkutano kwisha. Haya ni mabadiliko ya aina yake mkuu. Let's wait and see.
Atakuwa rais kama boya tu ili watu wapige madili.
 
Alafu hawa wanopiga domu humu ni vibaraka wa hapo lumumba ndo kazi waliopewa na wanalipwa posho ila kwa taarifa waniulize mie ambaye nishashiriki baadhi ya shuguli za ccm wakati nikiwa gamba kwa taarifa fupi tuu wanachama wenye kadi zaidi ya 40% hawampendi magufuli wanaenda kwenye mikutano tuu kutimiza wajibu na wooga ila wengi moyoni ni lowasa na ndiye walitegemea atapitishwa, hiki kilichotokea kukata jina lake ni kwa maslahi ya wakubwa tuu ila kwa hawa wa chini wanalalamika mpaka kesho moyoni, ITAWAGARIMU SANA MWAKA HUU, bora mimi nilijitoa mapema

Wewe Dishunga. Kwa maneno yako tabia yako ni:

1. Uoga
2. Unafiki
3. Usaliti.

Simama uhesabiwe acha uoga na unafiki wa kuwa kuwa ndumila kuwili.
Huo upopo wa kuwa ndege na mnyama kwa wakati mmoja utakupoteza.
 
wenyewe wana mabadiliko wanasema hawataki kujua atawafanyia nini wanachotaka awe rais,roho zao zitakuwa kwatu
 
wenyewe wana mabadiliko wanasema hawataki kujua atawafanyia nini wanachotaka awe rais,roho zao zitakuwa kwatu.Only in Tanzania
 
attachment.php
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake

Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi

Jisemee nafsi yako usiwasemee Watanzania
 
Pamoja na hoja zako nzuri lakini pia Lowasa ni mgonjwa sana najua kiundani kabisa kuhusu ugonjwa wake.

umesahau kikwete alianguka mara mbili jangwani katika siku tofauti wakati wa kampeni zake? je hiyo ilimzuia kuwa rais?
 
Lowasa hawezi kutudanganya tena tushastuka siye kitambo aende zake wala hatudanganyiki kabisa mwizi tu huyu.

Wewe kazi kufurahi na kucomment kitu chochote kinachoandikwa kwa ubaya kuhusu Lowassa hata kama aliyeandika anajua wazi kwamba ni uongo lakini kuna wapumbavu wata support.
 
Hata mseme anaongelea kutumia mashine maalumu nilishaamua kumpigia kura Mh. Rais mteule Edward Lowassa kwasababu naamini katika mabadiliko!
Semeni yooooote, hambadilishi chochote. Kwani Slaa hajafikia target yenu?
 
hakuna haja ya kujadili afya ya mtu jadili je ww mzma?leta vya maaana tumechoshwa na hoja lwasa jaman tuambien kwa nn watoto wanakaa chin? kwa nn watu wanatibiwa chin ya mt?
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake

Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi

Sinema hizo hizo Za kihindi za staring kufia kwenye maua ndio zilipendwa zinapendwa na zitapendwa
Tena hususani nyimbo zao ambazo zinatia bashrafu Kwa watz na ndio maana tunaziangslia kila siku na 25 October tunanua ili ziwe zetu Kwa manufaa yetu
Hahahahahahhahahahahahah poooor you
Welcome team mabadiliko
 
Hata mseme anaongelea kutumia mashine maalumu nilishaamua kumpigia kura Mh. Rais mteule Edward Lowassa kwasababu naamini katika mabadiliko!
Semeni yooooote, hambadilishi chochote. Kwani Slaa hajafikia target yenu?
Halafu Lodi Lofa akiwaita wapumbavu mnakasirika. Why?
 
Back
Top Bottom