Clouds na shafii dauda wao wakiuamshia dude huponiDuuh kashashikwa tayari kwisha habari yake
[HASHTAG]#MalinziOut2017[/HASHTAG]
kwani hao ndio takukuruJamali malinzi sa swahiba wake wapo lockup.ni kampeni za clouds za kupambana aly mayai awe president ?Jana humu JF kuna MTU Alisema clouds wakiamua jambo huwa hawashindwi!!!!
kweli kaka nakumbukaHatujasingizia.logic ni kuwa huo ufisadi uliibuliwa na Clifford ndimbo enzi akiwa times FM akafukuzwa kazi.clouds kupitia kipindi cha michezo ndio wakaishikia bango kwelikweli.na kama unafuatilia clouds wao wanampigia tembele kampeni awe rais ajaye wa Tff
Akomeshwe maana angeachwa angehonga wagombea wote wajitoeKama kweli anajihususha na rushwa kwa nn aachwe? Hata km imeibuliwa na clouds,mtoa rushwa na mpokeaji ni wahalifu.
Kweli mkuu, dude limeamshwaClouds na shafii dauda wao wakiuamshia dude huponi
Matumizi mabaya ya pesa pale tffSababu ya kukamatwa ni ipi jaribu kutuelewesha
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us