Ni bora wazungu warudi tu kama zamani kutawala waziwazi kuliko hivi sasa kuwatumia ndugu zetu kina Mbowe

JPM alikuwa mkali wala hakuwa dikteta, maana alikuwa pale ikulu kwa mujibu wa sheria, pale Chadema watu wana ndimi mbili ukiletewa maneno waliosema Lowassa alipokuwa ccm, ni tofauti na waliosema lowassa alipokuwa mgombea wao, cha ajabu eti nao wanawaita wengine ni wanafiki hatari sanaaaaaaa
Kule kupora pesa halali za watu ni kufanya nini!?
 
Kule kupora pesa halali za watu ni kufanya nini!?
Umejuaje kuwa ni halali? Je kama Mbowe anajisifia ujinga maana jiwe hayupo, siku zote marehemu hupewa lawama ata kama hausiki, nchi hii wakwepa Kodi ni wengi sana
 
Sijasoma hili andiko lako! Ila akili yangu imeniambia utakuwa umeandika ugoro tu mwanzo mwisho!

Uongo, kweli?
Na ameandika ugoro hasa maana anasema wazungu wana ajenda mbaya dhidi ya Waafrika, halafu anasema chanjo imeua wazungu! Kwa hiyo ni ajenda mbaya dhidi ya Waafrika kwaajili ya kuua wazungu.

Kuna watu hawajafikia hata uwezo wa kuchangia, lakini wanaamini wanaweza kutoa mada na kufanya analysis.
 
Nimesikitiswa sana na Freeman na kama jina lake lilivyo kweli ni mtu huru anaweza jutumika kokote kule kufanya biashara yoyote hata kama hiyo biashara italighalimu taifa lake, ndugu zake au jamii yake hicho yeye ajali. Sikuamini masikio yangu nilipomsikia Mbowe akiifanyia advatasingi ya chanjo ya korona ambayo nchini Marekani na kwingineko imeua watu zaidi ya 4000. (Chanzo BBC SWAHILI)

Mataifa yaliyotutawala yana ajenda mbaya ya siri kuhusiana na Covid na maisha yetu Waafrika, ndugu zangu nawaambia, huu ni mradi wa yule tajiri anaitwa Bill Gate na aliwai sikika yeye na familia yake wakisema, kuwa mpaka kufikia katikati ya mwezi wa 5 mwaka 2020 Afrika itakuwa imezagaa maiti kila kona ya mitaa ya bara la Afrika. Hapa awalikuwa hawana mchakato wa chanjo.

Baadae mwishoni mwa mwaka huo 2020 walianza kulalamika hawa wazungu tena wote wakisema mbona Afrika wao hawafi kwa wingi kama sisi, inakuwaje (haiwezekani) Ikumbukwe alisimama mzungu mmoja na kusema kutoka Ufaransa kuwa kunachanjo ameigundua anaomba ipelekwe Afrika kufanyiwa utafiti, nchi nyingi za Afrika zilistushwa na jambo hilo na kukataa kufanyiwa majaribio.

Mimi kutaka story nasema hivi kumbukeni kila walichokipanga na kukisema akina Freemani na genge lake vyote vimetokea hakika Mungu anawasikiliza sana hawa watu, kwani walimsema Jakaya Kikwete kuwa ni dhaifu hivyo walitaka Rais mkakamavu akaja leo yupo tayari kaburini anampiga utazani yupo hai (kama mwanaume kweli)

Kwa jinsi hili genge lilivyoamua kuingia katika hii biashara na wazungu kama walivyoanza huku nyuma kusema nchi ifungwa sasa naona tunafika, saa inakuja kila mtu hasa wafusi wa Mbowe watamkumbuka Magufuli na kuanza kumlilia na kusahau kuwa wakati alipofariki mlisherekea.

Kabla ya kuja kwa wazungu Afrika na kuleta machanjo kibao waafrika walikuwa wanaishi wastani wa miaka 150, yaani mzee wa miaka 130 alikuwa anaudhuria kilabuni na kwingineko, naakiona vipi aliongeza mke wa 9 yaani alikuwa bado anaamsha dude kama kawa, leo mtu akifikisha miaka 65 tia maji tia maji na wengi hatufiki. Tuanze kupunguza imani kwa hawa wazungu.

Tusiwe wanafki kama Magu alikosea sawa sema na kama Mbowe anakosea sema pia kwani anatupeleka pabaya kuliko kubaya namwona kama ameungana na maadui wa kihistoria.
unapotoa thread uwe na ushahidi ni lini mbowe alitumiwa na wazungu. Utajashtakiwa, kulipa fidia au kufungwa kipumbavu kwa ushabiki wa kijinga.
 
Nimesikitiswa sana na Freeman na kama jina lake lilivyo kweli ni mtu huru anaweza jutumika kokote kule kufanya biashara yoyote hata kama hiyo biashara italighalimu taifa lake, ndugu zake au jamii yake hicho yeye ajali. Sikuamini masikio yangu nilipomsikia Mbowe akiifanyia advatasingi ya chanjo ya korona ambayo nchini Marekani na kwingineko imeua watu zaidi ya 4000. (Chanzo BBC SWAHILI)

Mataifa yaliyotutawala yana ajenda mbaya ya siri kuhusiana na Covid na maisha yetu Waafrika, ndugu zangu nawaambia, huu ni mradi wa yule tajiri anaitwa Bill Gate na aliwai sikika yeye na familia yake wakisema, kuwa mpaka kufikia katikati ya mwezi wa 5 mwaka 2020 Afrika itakuwa imezagaa maiti kila kona ya mitaa ya bara la Afrika. Hapa awalikuwa hawana mchakato wa chanjo.

Baadae mwishoni mwa mwaka huo 2020 walianza kulalamika hawa wazungu tena wote wakisema mbona Afrika wao hawafi kwa wingi kama sisi, inakuwaje (haiwezekani) Ikumbukwe alisimama mzungu mmoja na kusema kutoka Ufaransa kuwa kunachanjo ameigundua anaomba ipelekwe Afrika kufanyiwa utafiti, nchi nyingi za Afrika zilistushwa na jambo hilo na kukataa kufanyiwa majaribio.

Mimi kutaka story nasema hivi kumbukeni kila walichokipanga na kukisema akina Freemani na genge lake vyote vimetokea hakika Mungu anawasikiliza sana hawa watu, kwani walimsema Jakaya Kikwete kuwa ni dhaifu hivyo walitaka Rais mkakamavu akaja leo yupo tayari kaburini anampiga utazani yupo hai (kama mwanaume kweli)

Kwa jinsi hili genge lilivyoamua kuingia katika hii biashara na wazungu kama walivyoanza huku nyuma kusema nchi ifungwa sasa naona tunafika, saa inakuja kila mtu hasa wafusi wa Mbowe watamkumbuka Magufuli na kuanza kumlilia na kusahau kuwa wakati alipofariki mlisherekea.

Kabla ya kuja kwa wazungu Afrika na kuleta machanjo kibao waafrika walikuwa wanaishi wastani wa miaka 150, yaani mzee wa miaka 130 alikuwa anaudhuria kilabuni na kwingineko, naakiona vipi aliongeza mke wa 9 yaani alikuwa bado anaamsha dude kama kawa, leo mtu akifikisha miaka 65 tia maji tia maji na wengi hatufiki. Tuanze kupunguza imani kwa hawa wazungu.

Tusiwe wanafki kama Magu alikosea sawa sema na kama Mbowe anakosea sema pia kwani anatupeleka pabaya kuliko kubaya namwona kama ameungana na maadui wa kihistoria.
Mimi ndio maana sitaki itokee tuongozwe na wachagga. Tuongozwe na makabila aina yote Tanzania ila sio wachagga.
 
Nimesikitiswa sana na Freeman na kama jina lake lilivyo kweli ni mtu huru anaweza jutumika kokote kule kufanya biashara yoyote hata kama hiyo biashara italighalimu taifa lake, ndugu zake au jamii yake hicho yeye ajali. Sikuamini masikio yangu nilipomsikia Mbowe akiifanyia advatasingi ya chanjo ya korona ambayo nchini Marekani na kwingineko imeua watu zaidi ya 4000. (Chanzo BBC SWAHILI)

Mataifa yaliyotutawala yana ajenda mbaya ya siri kuhusiana na Covid na maisha yetu Waafrika, ndugu zangu nawaambia, huu ni mradi wa yule tajiri anaitwa Bill Gate na aliwai sikika yeye na familia yake wakisema, kuwa mpaka kufikia katikati ya mwezi wa 5 mwaka 2020 Afrika itakuwa imezagaa maiti kila kona ya mitaa ya bara la Afrika. Hapa awalikuwa hawana mchakato wa chanjo.

Baadae mwishoni mwa mwaka huo 2020 walianza kulalamika hawa wazungu tena wote wakisema mbona Afrika wao hawafi kwa wingi kama sisi, inakuwaje (haiwezekani) Ikumbukwe alisimama mzungu mmoja na kusema kutoka Ufaransa kuwa kunachanjo ameigundua anaomba ipelekwe Afrika kufanyiwa utafiti, nchi nyingi za Afrika zilistushwa na jambo hilo na kukataa kufanyiwa majaribio.

Mimi kutaka story nasema hivi kumbukeni kila walichokipanga na kukisema akina Freemani na genge lake vyote vimetokea hakika Mungu anawasikiliza sana hawa watu, kwani walimsema Jakaya Kikwete kuwa ni dhaifu hivyo walitaka Rais mkakamavu akaja leo yupo tayari kaburini anampiga utazani yupo hai (kama mwanaume kweli)

Kwa jinsi hili genge lilivyoamua kuingia katika hii biashara na wazungu kama walivyoanza huku nyuma kusema nchi ifungwa sasa naona tunafika, saa inakuja kila mtu hasa wafusi wa Mbowe watamkumbuka Magufuli na kuanza kumlilia na kusahau kuwa wakati alipofariki mlisherekea.

Kabla ya kuja kwa wazungu Afrika na kuleta machanjo kibao waafrika walikuwa wanaishi wastani wa miaka 150, yaani mzee wa miaka 130 alikuwa anaudhuria kilabuni na kwingineko, naakiona vipi aliongeza mke wa 9 yaani alikuwa bado anaamsha dude kama kawa, leo mtu akifikisha miaka 65 tia maji tia maji na wengi hatufiki. Tuanze kupunguza imani kwa hawa wazungu.

Tusiwe wanafki kama Magu alikosea sawa sema na kama Mbowe anakosea sema pia kwani anatupeleka pabaya kuliko kubaya namwona kama ameungana na maadui wa kihistoria.
Chini kwenye ardhi ya Tanzania, kote baharini na nchi kavu pia, kuna bidhaa ambazo karibia nchi zote duninani hazina bidhaa hizo!
 
Nimesikitiswa sana na Freeman na kama jina lake lilivyo kweli ni mtu huru anaweza jutumika kokote kule kufanya biashara yoyote hata kama hiyo biashara italighalimu taifa lake, ndugu zake au jamii yake hicho yeye ajali. Sikuamini masikio yangu nilipomsikia Mbowe akiifanyia advatasingi ya chanjo ya korona ambayo nchini Marekani na kwingineko imeua watu zaidi ya 4000. (Chanzo BBC SWAHILI)

Mataifa yaliyotutawala yana ajenda mbaya ya siri kuhusiana na Covid na maisha yetu Waafrika, ndugu zangu nawaambia, huu ni mradi wa yule tajiri anaitwa Bill Gate na aliwai sikika yeye na familia yake wakisema, kuwa mpaka kufikia katikati ya mwezi wa 5 mwaka 2020 Afrika itakuwa imezagaa maiti kila kona ya mitaa ya bara la Afrika. Hapa awalikuwa hawana mchakato wa chanjo.

Baadae mwishoni mwa mwaka huo 2020 walianza kulalamika hawa wazungu tena wote wakisema mbona Afrika wao hawafi kwa wingi kama sisi, inakuwaje (haiwezekani) Ikumbukwe alisimama mzungu mmoja na kusema kutoka Ufaransa kuwa kunachanjo ameigundua anaomba ipelekwe Afrika kufanyiwa utafiti, nchi nyingi za Afrika zilistushwa na jambo hilo na kukataa kufanyiwa majaribio.

Mimi kutaka story nasema hivi kumbukeni kila walichokipanga na kukisema akina Freemani na genge lake vyote vimetokea hakika Mungu anawasikiliza sana hawa watu, kwani walimsema Jakaya Kikwete kuwa ni dhaifu hivyo walitaka Rais mkakamavu akaja leo yupo tayari kaburini anampiga utazani yupo hai (kama mwanaume kweli)

Kwa jinsi hili genge lilivyoamua kuingia katika hii biashara na wazungu kama walivyoanza huku nyuma kusema nchi ifungwa sasa naona tunafika, saa inakuja kila mtu hasa wafusi wa Mbowe watamkumbuka Magufuli na kuanza kumlilia na kusahau kuwa wakati alipofariki mlisherekea.

Kabla ya kuja kwa wazungu Afrika na kuleta machanjo kibao waafrika walikuwa wanaishi wastani wa miaka 150, yaani mzee wa miaka 130 alikuwa anaudhuria kilabuni na kwingineko, naakiona vipi aliongeza mke wa 9 yaani alikuwa bado anaamsha dude kama kawa, leo mtu akifikisha miaka 65 tia maji tia maji na wengi hatufiki. Tuanze kupunguza imani kwa hawa wazungu.

Tusiwe wanafki kama Magu alikosea sawa sema na kama Mbowe anakosea sema pia kwani anatupeleka pabaya kuliko kubaya namwona kama ameungana na maadui wa kihistoria.
Aliyesema Dunia uwanja wa fujo alikuwa anamaanisha.
 
Nimesikitiswa sana na Freeman na kama jina lake lilivyo kweli ni mtu huru anaweza jutumika kokote kule kufanya biashara yoyote hata kama hiyo biashara italighalimu taifa lake, ndugu zake au jamii yake hicho yeye ajali. Sikuamini masikio yangu nilipomsikia Mbowe akiifanyia advatasingi ya chanjo ya korona ambayo nchini Marekani na kwingineko imeua watu zaidi ya 4000. (Chanzo BBC SWAHILI)

Mataifa yaliyotutawala yana ajenda mbaya ya siri kuhusiana na Covid na maisha yetu Waafrika, ndugu zangu nawaambia, huu ni mradi wa yule tajiri anaitwa Bill Gate na aliwai sikika yeye na familia yake wakisema, kuwa mpaka kufikia katikati ya mwezi wa 5 mwaka 2020 Afrika itakuwa imezagaa maiti kila kona ya mitaa ya bara la Afrika. Hapa awalikuwa hawana mchakato wa chanjo.

Baadae mwishoni mwa mwaka huo 2020 walianza kulalamika hawa wazungu tena wote wakisema mbona Afrika wao hawafi kwa wingi kama sisi, inakuwaje (haiwezekani) Ikumbukwe alisimama mzungu mmoja na kusema kutoka Ufaransa kuwa kunachanjo ameigundua anaomba ipelekwe Afrika kufanyiwa utafiti, nchi nyingi za Afrika zilistushwa na jambo hilo na kukataa kufanyiwa majaribio.

Mimi kutaka story nasema hivi kumbukeni kila walichokipanga na kukisema akina Freemani na genge lake vyote vimetokea hakika Mungu anawasikiliza sana hawa watu, kwani walimsema Jakaya Kikwete kuwa ni dhaifu hivyo walitaka Rais mkakamavu akaja leo yupo tayari kaburini anampiga utazani yupo hai (kama mwanaume kweli)

Kwa jinsi hili genge lilivyoamua kuingia katika hii biashara na wazungu kama walivyoanza huku nyuma kusema nchi ifungwa sasa naona tunafika, saa inakuja kila mtu hasa wafusi wa Mbowe watamkumbuka Magufuli na kuanza kumlilia na kusahau kuwa wakati alipofariki mlisherekea.

Kabla ya kuja kwa wazungu Afrika na kuleta machanjo kibao waafrika walikuwa wanaishi wastani wa miaka 150, yaani mzee wa miaka 130 alikuwa anaudhuria kilabuni na kwingineko, naakiona vipi aliongeza mke wa 9 yaani alikuwa bado anaamsha dude kama kawa, leo mtu akifikisha miaka 65 tia maji tia maji na wengi hatufiki. Tuanze kupunguza imani kwa hawa wazungu.

Tusiwe wanafki kama Magu alikosea sawa sema na kama Mbowe anakosea sema pia kwani anatupeleka pabaya kuliko kubaya namwona kama ameungana na maadui wa kihistoria.
Holy crap
 
Back
Top Bottom