cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,840
- 137,564
Kikubwa anapata anachotaka kwako huyo mchepuko (pesa na vitu vingine) haina tatizo mbona lol,Mbona unanihukumu ?? Mie nililijua hilo ndio sababu nikaamua kuchukua wa darasa la nne B, maisha yanaendelea ,
Hao ma degree holders ikitokea sanaa atapata hadhi ya mchepuko with no strings attached ,