kilio cha wengi wetu cc wanawake ni uzinzi ulopitiliza kwa wanaume mengine yote yanazungumzika wanaume mmeumbwa mwanaume mmoja awe na wanawake 10 shida inaanzia hapo kwenye maumbile, hako katabia ni ka maumbile shida si usomi, kama unaona mkeo msomi anakusumbua watoto wako wa kike piga chini wasiende clasi maana watasumbua wakwezo!!!!!