Ni bora ukaoa mfanyakazi wa ndani kuliko modern woman kwa sasa

Hata mimi before nilikuwa na mtizamo kama wenu wa kuwa mwanamke hawezi kuwa haki sawa na mwanaume Bali atabaki kuwa kama mama wa nyumbani but now baada ya kupata mtoto wa kike nimeona sio fair kabisa sababu sitaki mtoto wangu aje kua Dada au mmama wa nyumbani na kwa sababu yake nimeamua kuwa 50. 50 mimi na mke wangu ili hata baadae mwanangu na yeye awe hamsin kwa hamsin mkwe unakuja unapewa masharti kama hutaki amsha
 
Umenena dada, tatizo form four leavers na house girls wengi hawajiheshimu linapokuja kwenye mapenzi. Wengi wanaliwa na boda boda na wauza urembo, duka, magenge au wakopesha vyombo. Utashangaa heshima yako inashuka ghafla mtaani kisa? Umeoa mgawaji ukiwa upo kazini.

Cha msingi ni kuomba Mungu linapokuja suala la kumpatia mwanamke sahihi katika ndoa.
Hao Malaya wa huko kwenye mavyuo hamuwaoni wakiliwa kwa kujiuza? Katika watu wasio na staha ni wasomi, bora hao house girl au wanawake wasiosoma kuliko wadangaji
 
Ndoa ni ngumu sana kudumu ikiwa 50/50. Mke anatakiwa kuwa Submissive (Mnyenyekevu) kwa Mume wake, kwa sababu asili ya Mwanaume ni Dominance (Kutawala).

Na ifahamike kuwa hakuna utawala wowote Duniani unaokubaliana na ubishi/upinzani wa ndani. Yaani Mfano MwanaCCM awe ana tabia ya kupishana na hoja za Magufuli. Nafikiri mnajua kitakachofuata. Yatamkuta kama yaliyomkuta Membe. Hata Trump nadhani mliona alichokua anawafanyia republicans waliokua wanaonesha kupishana naye (anawafukuza kazi/ anawavua wadhifa aliowapa).

Sasa nirudi kwenye point. Ina maana kumbe ili Dominance ifanye kazi, lazima mtawala awe juu ya anaowatawala kimamlaka/kimaamuzi. Sasa ikitokea unaemtawala yuko 50/50 na wewe ina maana muda wowote anakupindua. Yani Mume unageuzwa Mke ndani ya ndoa yako. Na hawa kina dada saivi ukikubali wakukalie kichwani lazima wakunyooshe. Sasa kinachotokea sasa hivi kwenye mahusiano mengi, Mwanamke akishaanza kuwa mbishi mbishi, lazima Mwanaume amuone threat kwenye Dominance yake. Na tunachofanya wanaume ndicho kinachofanywa na watawala wote Duniani. To get rid of threat! Yes, tunakuepuka kwa gharama zozote zile hata kama ni kukuachia mtoto.

La mwisho, Ni vizuri Mwanamke ukajua nafasi yako kwa Mumeo,

"Kumsaidia yeye kufikia Malengo yake na kuhakikisha hajikwai katikati ya Safari"

Ukiyasimamia hayo hapo juu kwa moyo wako wote, hakika mahusiano yenu yatadumu. Lakini ukishaanza egoistic hashtags za #iChasemyOwnPaper #myLifemyChoices #QueenOfmyOwnEmpire; utabaki na hizo "My" zako.

P.S. Nimelenga zaidi wanawake wanao amini katika Ndoa au wanaotamani kudumu na wenza wao katika mahusiano. Nyie wa haki sawa na 50/50, subirini bandiko lenu siku nyingine!
 
" kaliboost kuwa saa sita, ile kuvua tu pwa"
"eti Mimi sijawahi, ile kuchomeka tu pwa"
Da aisee huyu dogo mwenye haya mashahiri ni mtundu.
 
Kwahiyo mtoto wa kike asisome??
kwahiyo mtoto wa kike asipewe nafasi katika jamii??
Kitu kikubwa ni malezi, yaani mtoto wa kike anapaswa kuandaliwa kuwa mke/mama bora tangu akiwa mtoto mdogo.
Maswali kuntu Ila tupo kwenye kipindi cha mpito juu ya mapokeo ya elimu, muamko huu wa kusomesha watoto wa kike ni kama unashika kasi kwa sasa na moja ya matokeo yake ni kuwa waliobahatika kuelimika wana ushamba wa kudhani elimu ndio kila kitu.
Mbele huko elimu itakapokuwa popular kwa kila mwanamke ushamba huu utatoweka tu.

Kwa sasa kuoa mwanamke mwenye elimu yake ni risks sana maana hata wazazi wao bado wanataka control ya ndoa sababu ya pesa walizosomeshea.
 
Wakuu
Kwa sasa kama unataka ndoa yako iishi achana na hawa modern women.
Wanaotaka haki sawa na wanaume, wabishi kwa waume zao kisa tu ana ka diploma ka business administration basi anataka kujiona sawa na mumewe .

Nawashauri basi ni bora utafute mwanamke ambae sio modern woman/feminist wanaotaka kukojoa huku wamesimama kwani itakucost sanaa.
Hata wafanyakazi wa ndani wanafaa sana kuolewa kwani wanatimiza majukumu yao ya ndoa kwa ufasaha
Hii inafanya hata waliowaoa wazidi kuwapenda na kuwatunza

Achana na hawa wa "siku hizi ni haki sawa"

Msiseme sikuwaambia
Kuna kila sababu ya wazazi kuanza kuwaandaa watoto wao wa kiume namna ya kuishi na mwanamke aliyewezeshwa.

Sisi wazazi wa watoto wa kike hatuwezi kuacha kuwezesha mabinti zetu ili tu huko baadae wakamfurahishe mwanaume mmoja.
 
Hata mimi before nilikuwa na mtizamo kama wenu wa kuwa mwanamke hawezi kuwa haki Sawa na mwanaume Bali atabaki kuwa kama mama wa nyumbani but now baada ya kupata mtoto wa kike nimeona sio fair kabisa sababu sitaki mtoto wangu aje kua Dada au mmama wa nyumbani na kwa sababu yake nimeamua kuwa 50. 50 mimi na mke wangu ili hata baadae mwanangu na yeye awe amsin kwa amsin mkwe unakuja unapewa masharti kama hutaki amsha
Woyoooooooooooooh
 
Maswali kuntu Ila tupo kwenye kipindi cha mpito juu ya mapokeo ya elimu , muamko huu wa kusomesha watoto wa kike ni kama unashika kasi kwa sasa na moja ya matokeo yake nikuwa waliobahatika kuelimika Wana ushamba wa kudhani elimu ndio kila kitu .
Mbele huko elimu itakapokuwa popular kwa kila mwanamke ushamba huu utatoweka tu.

Kwa sasa kuoa mwanamke mwenye elimu yake ,ni risks sana , maana hata wazazi wao bado wanataka control ya ndoa sababu ya pesa walizosomeshea .
Kumbe hili mnalijua sasa mnajitoa ufahamu au?
 
Hivyo vyuo kama ulisoma peke yako sawa hakuna,nasisitiza wanawake waliotoka chuo ni malaya waliokubuhu na kila uchafu wanajua,hizi hadithi za vibamia na kudanga ndiko zimeanzia sijui haki sawa nk nk.
una hasira na wanachuo wee poleeeh, hao hg au wasio soma wako wengi tyuuh, muwachukue sio kupiga kelele.
 
una hasira na wanachuo wee poleeeh, hao hg au wasio soma wako wengi tyuuh, muwachukue sio kupiga kelele.
Tuwachukue mara ngapi mkuu,nina experience na wana vyuo maana nilikuwa nao huko na nilipatwa na pia mitaani wengi wanaugulia na wasomi.

Ukitaka wasomi ni aidha ukubari kuondoa dominance ya mwanaume au uwe na pesa twice yake na pia itategemeana maana ni shidaa,sas kuliko ligi ndani si bora Hg ukikohoa tu awe anashtuka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom