Ni bora kumtongoza usiyempenda

Ni bora kumtongoza usiyempenda

Mimi huwa naweka Madem kumi wa kuwatongoza kwa siku na haijawahi tokea wote wakabwaga, na kuna wakati huwa wote wanakubali alafu baada ya hapo sasa ndio huwa nachuja mchele na chuya
 
Mimi huwa naweka Madem kumi wa kuwatongoza kwa siku na haijawahi tokea wote wakabwaga, na kuna wakati huwa wote wanakubali alafu baada ya hapo sasa ndio huwa nachuja mchele na chuya
Unawatongoza unaowapenda au usiowapenda???
 
Mademu wote ni wakali, maana demu mkali kwako kwa mwingine anamuona wa kawaida na demu mbaya kwako kwa mwingine anamuona mkali
Very correct, wanawake wote ni wakali inategemea unamwangalia kwa jicho gani
 
Hizi ni dalili za udomo zege principle za kutongoza ni lazima u risk kupoteza urafiki au upate mpenzi, hakuna safe zone kwenye kutongoza, shida huanza pale unapo mfanya awe kwenye pedestal lazima uwe na swaga za kilooser
Nevet put a woman on the pedestal. Hili wanawake wazuri wanalijua vizuri kulitumia for their own benefit.
 
Back
Top Bottom