Ni bora kumtongoza usiyempenda

Ni bora kumtongoza usiyempenda

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,817
Reaction score
5,403
Mi binafsi nimeona ni bora kumtongoza yule usiyempenda. Ninayempenda kutoka moyoni sitakuwa tayari apunguze au akate kabisa urafiki endapo atanikatalia.

Ninayempenda kutoka moyoni sitakuwa tayari sitakuwa tayari kuona ananisaliti endapo atanikubalia ila nisiyempenda yeye afanye chochote kile mimi poa nikitaka show napiga akizingua poa siku akijileta nakula kimasihara
 
Mapenz huwa na tabia ya kujengwa Huyo unayesema humpendi ukiwa nae anaweza kukufanya umpende hadi utajishangaa unataka kumuoa,
Kuwa makini tongoza demu mkali hata kama humpendi huwezi jua kesho yako
Mademu wote ni wakali, maana demu mkali kwako kwa mwingine anamuona wa kawaida na demu mbaya kwako kwa mwingine anamuona mkali
 
Hizi ni dalili za udomo zege principle za kutongoza ni lazima u risk kupoteza urafiki au upate mpenzi, hakuna safe zone kwenye kutongoza, shida huanza pale unapo mfanya awe kwenye pedestal lazima uwe na swaga za kilooser
 
Hizi ni dalili za udomo zege principle za kutongoza ni lazima u risk kupoteza urafiki au upate mpenzi, hakuna safe zone kwenye kutongoza, shida huanza pale unapo mfanya awe kwenye pedestal lazima uwe na swaga za kilooser
Hujaielewa mada mkuu
 
Mi binafsi nimeona ni bora kumtongoza yule usiyempenda. Ninayempenda kutoka moyoni sitakuwa tayari apunguze au akate kabisa urafiki endapo atanikatalia.

Ninayempenda kutoka moyoni sitakuwa tayari sitakuwa tayari kuona ananisaliti endapo atanikubalia ila nisiyempenda yeye afanye chochote kile mimi poa nikitaka show napiga akizingua poa siku akijileta nakula kimasihara
Umesema ukweli
 
Back
Top Bottom