First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
pamoja na kuwa na kampeni kutokomeza ukimwi watu wanazidi kufa, hawatumii CONDOMS, sababu
1. Aibu,
wengi ni vijana wadogo na wengine ni wazee wenye heshima zao, so kwenda kuagiza kondom dukani anaona kama ni kujidhalilisha.
2. Chap chap
mtu anatongoza na kukubaliwa bila yeye kutarajia, so atafanya bila kutumia kondom kwa kuokoa hiyo chance adimu.
3. Umbali
wengine wanaishi mbali na maduka, inakuwa vigumu kujiwekea akiba
4. Nuksi
wengine hawatembei nazo akidhani kuwa anapokuwa na kondom mfukoni ndo kwanza dili halitafumuka
5. Hisia
kondom zinapunguza joto na kumfanya mwanaume/mwanamke achelewe kupata hisia
6. Gharama
unakuta mtu kakubaliwa wakati hana hata sh 50 na hataki kuachia nafasi
7. Upatikanaji
hasa maeneo ya vijijini kuuza kondom ni ishu, hadi ukutane na maduka ya dawa au maduka makubwa
8. Uimara
mara nyingini kondom zimelalamikiwa kupasuka, na pia utakuta hata kama ikipasuka katikati ya mechi watu hawastop hadi bao
9. Imani potofu
wengi huamini kondoms zina virusi, so wanaona bora tu mechi ichezwe bila viatu.
10. Kukosa umakini
eitha kupita kwa muda wake wa matumizi au kuchanwa na makucha na kutumia bila kuzingatia hilo.
unaweza kuongeza zaidi
source: First Born
.
1. Aibu,
wengi ni vijana wadogo na wengine ni wazee wenye heshima zao, so kwenda kuagiza kondom dukani anaona kama ni kujidhalilisha.
2. Chap chap
mtu anatongoza na kukubaliwa bila yeye kutarajia, so atafanya bila kutumia kondom kwa kuokoa hiyo chance adimu.
3. Umbali
wengine wanaishi mbali na maduka, inakuwa vigumu kujiwekea akiba
4. Nuksi
wengine hawatembei nazo akidhani kuwa anapokuwa na kondom mfukoni ndo kwanza dili halitafumuka
5. Hisia
kondom zinapunguza joto na kumfanya mwanaume/mwanamke achelewe kupata hisia
6. Gharama
unakuta mtu kakubaliwa wakati hana hata sh 50 na hataki kuachia nafasi
7. Upatikanaji
hasa maeneo ya vijijini kuuza kondom ni ishu, hadi ukutane na maduka ya dawa au maduka makubwa
8. Uimara
mara nyingini kondom zimelalamikiwa kupasuka, na pia utakuta hata kama ikipasuka katikati ya mechi watu hawastop hadi bao
9. Imani potofu
wengi huamini kondoms zina virusi, so wanaona bora tu mechi ichezwe bila viatu.
10. Kukosa umakini
eitha kupita kwa muda wake wa matumizi au kuchanwa na makucha na kutumia bila kuzingatia hilo.
unaweza kuongeza zaidi
source: First Born
.