Baadhi ya walimu wa shule za msingi ni "Semi-literate"?

Musundi

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
1,583
2,600
Hivi hawa baadhi ya walimu wa shule za msingi wana matatizo gani hasa? Nimewaandikisha wanangu kuanza darasa la kwanza kwa miaka miwili tofauti. Wa kwanza nilipompeleka kumuandikisha mwalimu aliniomba nakala ya cheti chake cha kuzaliwa; nikampa. Miaka miwili baadaye nikampeleka kumwandikisha mwanangu wa pili; nikadaiwa pia nakala ya cheti cha kuzaliwa; nikampa.

Cha ajabu, yalipokuja kutoka matokeo ya mtihani wa Drs la 4 ya mwanangu wa kwanza, majina yalikuja yamekosewa. Sikuelewa.

Tatizo hilo hilo lilikuja kujitokeza tena kwa mwanangu wa pili, naye majina yalikosewa. Walimu wanajiandikia SPELLING wanazotaka bila kujali kinachosomeka kwenye Cheti cha kuzaliwa cha mtoto.

Hivi, tatizo la hawa viumbe ni nini? Wanaboa mno na kutuingiza wazazi na watoto katika matatizo hapo baadaye maana mpishano wa majina au spelling ni issue kubwa hasa zama hizi ambazo huduma nyingi hutolewa kwa kutumia mifumo ya computer.

Hivi nimemuandikisha wa tatu. Wakijichanganya tena, Wallah, naburuza jinga moja mahakamani!!
 
Tatizo siyo dogo baadhi ya walimu hawapo makini.Watoto wangu wawili pia wamepata shida kama hiyo.Vyeti niliwakabidhi, wanavyo na baadhi ya walimu nimeshawahi kufanya nao kazi wananifahamu na watoto pia.Nilipojaribu kufuatilia eti mkuu naye anashangaa.Ila maelezo ambayo Afisa Taaluma alinipa nilibaki kumshangaa yule mwalimu mkuu.Wao ndiyo husajili,vyeti wanatuomba vya nini?.Wanaudhi sana.
 
Hivi hawa baadhi ya walimu wa shule za msingi wana matatizo gani hasa? Nimewaandikisha wanangu kuanza darasa la kwanza kwa miaka miwili tofauti. Wa kwanza nilipompeleka kumuandikisha mwalimu aliniomba nakala ya cheti chake cha kuzaliwa; nikampa. Miaka miwili baadaye nikampeleka kumwandikisha mwanangu wa pili; nikadaiwa pia nakala ya cheti cha kuzaliwa; nikampa.

Cha ajabu, yalipokuja kutoka matokeo ya mtihani wa Drs la 4 ya mwanangu wa kwanza, majina yalikuja yamekosewa. Sikuelewa.

Tatizo hilo hilo lilikuja kujitokeza tena kwa mwanangu wa pili, naye majina yalikosewa. Walimu wanajiandikia SPELLING wanazotaka bila kujali kinachosomeka kwenye Cheti cha kuzaliwa cha mtoto.

Hivi, tatizo la hawa viumbe ni nini? Wanaboa mno na kutuingiza wazazi na watoto katika matatizo hapo baadaye maana mpishano wa majina au spelling ni issue kubwa hasa zama hizi ambazo huduma nyingi hutolewa kwa kutumia mifumo ya computer.

Hivi nimemuandikisha wa tatu. Wakijichanganya tena, Wallah, naburuza jinga moja mahakamani!!
Tatizo ni wewe na uzazi wako! Yaani ulisubiri mpaka matokeo ya darasa la nne ndiyo ukague kazi zao za shuleni!
Miaka mingine yote ulikuwa unalewa na hawara zako!

Malaya mkubwa wee!
 
Vicoba na Mikopo inafanya wasi-concentrate Mkuu.

WAONEE HURUMA

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Hivi hawa baadhi ya walimu wa shule za msingi wana matatizo gani hasa? Nimewaandikisha wanangu kuanza darasa la kwanza kwa miaka miwili tofauti. Wa kwanza nilipompeleka kumuandikisha mwalimu aliniomba nakala ya cheti chake cha kuzaliwa; nikampa. Miaka miwili baadaye nikampeleka kumwandikisha mwanangu wa pili; nikadaiwa pia nakala ya cheti cha kuzaliwa; nikampa.

Cha ajabu, yalipokuja kutoka matokeo ya mtihani wa Drs la 4 ya mwanangu wa kwanza, majina yalikuja yamekosewa. Sikuelewa.

Tatizo hilo hilo lilikuja kujitokeza tena kwa mwanangu wa pili, naye majina yalikosewa. Walimu wanajiandikia SPELLING wanazotaka bila kujali kinachosomeka kwenye Cheti cha kuzaliwa cha mtoto.

Hivi, tatizo la hawa viumbe ni nini? Wanaboa mno na kutuingiza wazazi na watoto katika matatizo hapo baadaye maana mpishano wa majina au spelling ni issue kubwa hasa zama hizi ambazo huduma nyingi hutolewa kwa kutumia mifumo ya computer.

Hivi nimemuandikisha wa tatu. Wakijichanganya tena, Wallah, naburuza jinga moja mahakamani!!
Sasa kukosea majina basi ukawaona ni semi litera.....
Hujui changamoto za elimu vizuri
Kila mtu anaandika jina kwa mkono lazima kuna kitu kitapungua au kuongezeka
 
Hivi hawa baadhi ya walimu wa shule za msingi wana matatizo gani hasa? Nimewaandikisha wanangu kuanza darasa la kwanza kwa miaka miwili tofauti. Wa kwanza nilipompeleka kumuandikisha mwalimu aliniomba nakala ya cheti chake cha kuzaliwa; nikampa. Miaka miwili baadaye nikampeleka kumwandikisha mwanangu wa pili; nikadaiwa pia nakala ya cheti cha kuzaliwa; nikampa.

Cha ajabu, yalipokuja kutoka matokeo ya mtihani wa Drs la 4 ya mwanangu wa kwanza, majina yalikuja yamekosewa. Sikuelewa.

Tatizo hilo hilo lilikuja kujitokeza tena kwa mwanangu wa pili, naye majina yalikosewa. Walimu wanajiandikia SPELLING wanazotaka bila kujali kinachosomeka kwenye Cheti cha kuzaliwa cha mtoto.

Hivi, tatizo la hawa viumbe ni nini? Wanaboa mno na kutuingiza wazazi na watoto katika matatizo hapo baadaye maana mpishano wa majina au spelling ni issue kubwa hasa zama hizi ambazo huduma nyingi hutolewa kwa kutumia mifumo ya computer.

Hivi nimemuandikisha wa tatu. Wakijichanganya tena, Wallah, naburuza jinga moja mahakamani!!
Wewe una matatizo ya uelewa. Yaani una uelewa mdogo kuhusu mfumo wa usajili(sio dhambi kuwa na uelewa mdogo) .
Ungekuwa umethibitisha kwenye daftari la usajili kuwa jina limekosewa ningekuelewa.
Unawafahamu wanaoingiza majina kwenye mfumo, una uhakika kuwa ni walimu ?
 
Tatizo ni wewe na uzazi wako! Yaani ulisubiri mpaka matokeo ya darasa la nne ndiyo ukague kazi zao za shuleni!
Miaka mingine yote ulikuwa unalewa na hawara zako!

Malaya mkubwa wee!
Mwalimu umeghadhibika.Maneno yako yanakuondolea Haiba ya kiualimu.Kukiri kosa siyo udhaifu,unajirekebisha mambo mengine yanaendelea.Hata walimu wanaofanya kazi kizembe siyo wote ni baadhi tu.
 
Hivi hawa baadhi ya walimu wa shule za msingi wana matatizo gani hasa? Nimewaandikisha wanangu kuanza darasa la kwanza kwa miaka miwili tofauti. Wa kwanza nilipompeleka kumuandikisha mwalimu aliniomba nakala ya cheti chake cha kuzaliwa; nikampa. Miaka miwili baadaye nikampeleka kumwandikisha mwanangu wa pili; nikadaiwa pia nakala ya cheti cha kuzaliwa; nikampa.

Cha ajabu, yalipokuja kutoka matokeo ya mtihani wa Drs la 4 ya mwanangu wa kwanza, majina yalikuja yamekosewa. Sikuelewa.
Y
Tatizo hilo hilo lilikuja kujitokeza tena kwa mwanangu wa pili, naye majina yalikosewa. Walimu wanajiandikia SPELLING wanazotaka bila kujali kinachosomeka kwenye Cheti cha kuzaliwau cha mto

Hivi, tatizo la hawa viumbe ni nini? Wanaboa mno na kutuingiza wazazi na watoto katika matatizo hapo baadaye maana mpishano wa majina au spelling ni issue kubwa hasa zama hizi ambazo huduma nyingi hutolewa kwa kutumia mifumo ya computer.

Hivi nimemuandikisha wa tatu. Wakijichanganya tena, Wallah, naburuza jinga moja mahakamani!!
Omba usikutane na mwalimu anaedili vizuri na wajinga. Umeandika ujinga mtupu.
 
Mwalimu umeghadhibika.Maneno yako yanakuondolea Haiba ya kiualimu.Kukiri kosa siyo udhaifu,unajirekebisha mambo mengine yanaendelea.Hata walimu wanaofanya kazi kizembe siyo wote ni baadhi tu.
Kila muhula watoto wanapeleka matokeo ya test wanazofanya shuleni, hakuona makosa hayo mpaka matokeo ya darasa la nne!

Acha kumtetea huyo changudoa anakumbuka shuka kumekucha!
 
Back
Top Bottom