Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

Kwa wale wapenda soka, hasa la zile ligi tano bora za ulaya, Goal Live ndio app ya kuwa nayo. Inatoa push notifications za magoli wakati wa match.
 
nawezaje kupata live tv/radio on android 4n?

Asanteni great thinkers!!! Nimekuwa napita kwa mbaaali kyk jukwaa hili ... Na nimegundua na kujifunza mambo meengi. Natumia GAlaxy s2 na sijajua namna rahisi ya kupata tv stations za hapa nyumbani . Please assist. JF zaidi ya shule
 
Asanteni great thinkers!!! Nimekuwa napita kwa mbaaali kyk jukwaa hili ... Na nimegundua na kujifunza mambo meengi. Natumia GAlaxy s2 na sijajua namna rahisi ya kupata tv stations za hapa nyumbani . Please assist. JF zaidi ya shule
Hiyo simu yako bila shaka ina kitufe cha play store, click hicho halafu tumia button ya search juu ya window ya simu yako kisha andika kitu chochote unachotaka kuweka kwenye cimu yako. ( mfano. Live tv) zitakuja application za live tv nyingi tu. Utachagua inayokufaa
 
Kwa wale wanaotaka kujua hali ya hewa popote mikoani na duniani, unaweza kutumia application. Go weather forecast: Ushauri: kamwe usitumia google kutafuta application, bali tumia play store (hasa wale wa android) kwa kutumia button ya search hiyo application unayoitaka kisha install. Hii ni njia rahisi sana kuliko kupitia google search ambapo nyinhine zinasumbua utakapotaka kuinstall.
 
1. Spotify - Music Streaming

2. Tinder -
Kwa vijana wa siku hizi, hii ni dating app infanya matchmaking na kukupa hints ya nani walio maeneo yako wanaofanana na profile yako kama ulivyojielezea mwenyewe. Works better kama around you kuna watu wanatumia hiyo app.

3
. Nike running au MapMyWalk hizi ni za mazoezi.

4. Evernote - Kwa ubize tulionao si ajabu ukakumbuka kitu halafu baadae ukasahau, sasa this app is for u, you just register that thing as you go.

5. Voice Memos
- Safi sana kwa kurekodi sauti.

6.TV Remote - Hivi ile bishara pale kariakoo ya kuuza remotes bado ipo? Wanatakiwa wakae mkao mpya. Inategeme una TV aina gani lakini kama yangu ni LG hivyo natumia LG AV Remote 2. Unaweza pia kutumia on your player devices.

7. QR Barcode Scanner - Hii unascan kitu unachonunua pale kwenye barcode inakupa details ya bidhaa, nadhani hii itakuwa bomba sana kwa nyumbani where counterfeits is the order of the day.

8. Booking.Com na Tripadvisor - Kwa sisi wapenda kusafiri

9. GWR 2014 - Guiness world records, hii unaweza kutumia kuscan picha kwenye lile buku kla guiness world records ukaona video versions zake. So nyceeeee.

10. Out of Milk - Kama unaishi mamtoni (au kwa wanawake bongo hahahaha) one of the major headache is shopping responsibly, hapa unakutana na hiyo app unaandaa shopping list yako, unaweza ukaedit ukaweka na estimate prices au actual kama unazijua, unaweza kushare au ku-sncy ur shopping list, unaweza pia kuandaa pantry list ku-keep track. Very nice app. Badala ya kutembea na vinotebook, au mkaratasi.
-
 
wakuu nisaidieni nashindwa kureplay topic yeyote kwenye application ya jamani fourms Sijui tatizo nini
 
Hiyo simu yako bila shaka ina kitufe cha play store, click hicho halafu tumia button ya search juu ya window ya simu yako kisha andika kitu chochote unachotaka kuweka kwenye cimu yako. ( mfano. Live tv) zitakuja application za live tv nyingi tu. Utachagua inayokufaa

Mipango mingi asante sana. Nimeweza kuinstall .. Imeleta Tanzania tvs na nikiifungua inakuja itv tu . What about the others....nime un install ili nianze upya imekuja hivyohivyo....
 
app ya ku edit music(kutenga maneno na beat)naipataje?
 
Hiyo simu yako bila shaka ina kitufe cha play store, click hicho halafu tumia button ya search juu ya window ya simu yako kisha andika kitu chochote unachotaka kuweka kwenye cimu yako. ( mfano. Live tv) zitakuja application za live tv nyingi tu. Utachagua inayokufaa

nmevutiwa na hii thread hasa hapa kwenye. comment. tatizo langu ni kitufe cha play store kwe.nye simu yangu YXTEL G928 (ANDROID) ipo taratibu sana nifanyaje ili kui 'boost' ahsante wanajukwaa
 
Clean master mazee ni bonge la Antivirus,memory booster,clear junk files,pia ina torch na weather information & xo on yaan ni nooooooowma thaaaaaana
 
For Android

1. Temple Run 2
2. Swahili bible
3.Zombie highway
4. Cine trailers
5. Time table
6. Tube mate
7.Mix player
8. Camera 360
9.ebay
10. Kurasa Tanzania
11. Thumbs
12.Mozilla fire fox
13. Atrium for facebook
14. Jamiiforums
15.Life reminders
16.How to tie a tie
17.Eye trainer
18. iAfya
19. Mapishi
20.perfect body
21. Daily workout
22. AR first Aid
23.Relaxing Sound
24.PhotoGrid
25. Instagram
26.Snap camera Trial. Ni balaaa hii
27.BBC SWAHILI +VOA
28.Jobs Tanzania
29. WikiHow
30.Photo Funia
31. IMDb


HIZI ZOTE ZINAPATIKna PLAYSTORE

Mbona tube mate playstore haipo?
 
Dah nimedownload hizi apps hadi phone memory imejaa
 
Back
Top Bottom