Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

wakuu naomba msaada wa kupakua Apps za Bible,ibook,installous na coolstreaming kwenye iphone.

shukrani zimetangulia.
 
Wakuu nisaidieni hizi appl za sollar charge zinafanya kazi kweli au ni mizinguo na kama zinafanya kazi ipi inayofaaa zaidi
 
Wakubwa hivi nawezaje kuangalia live football match kwenye galaxy note? Nimeona kwa baadhi ya watu wanaweza kuona kwa kutumia laptop ila kwa galaxy sijajua kama inawezekana au la, kama inawezekana nafanyaje? Asanteni sana kwa msaada.
 
Ttpod for music player with lirics n download from billboard top 100. Hii nzuri jamani try it
 
nawezaje kupata live tv/radio on android 4n?
 
1391238447566.jpg
1391238491310.jpg
1391238533824.jpg
 
biblia ya kikatoliki ya kiswahili nimeitafuta sijaipata
 
Jaman android yangu iko low sana upande wa kupiga cm (call activity) somtime inazngua hadi inaandika "call activity has stoped" nashindwa kuelewa ni nn nisaidien jaman :banghead:🙁😎:banghead::what::what:🙂😕
 
Bible Takatifu ya Kiswahili hippo Mimi ndiyo naitumia....... Agano Jipya na Agano la Kale.
Search on Google apps store.
 
Go Sms pro ninzur sana ina simplyf usomaj na ujibu wa sms endapo utakua unatumia mambo mengine kwa simu..
 
Back
Top Bottom