the_gentleman
New Member
- Nov 14, 2013
- 1
- 0
Mie nmechoka app more than 1Gb!!
As ante sana ila ni appl gani naweza tumia kama document office
Sijakuelewa @ Walas
Tumegee na sisi basi.Jaman mwenye poweramp player apk full(pro) msaada maana trial yangu imekwsha na cpati apk ya maana yakuzd poweramp
updates
Nimeshapata wakubwa
Shazam... hii ina recognize any songs ukiifungua tu kama wimbo unachezwa basi inautafuta
google latitude...hiii unaweza ukawaweka marafiki zako popote walipo duniani na unaweza muona alipo so huwezi danganywa kama unampenzi wa mbali hawezi kukudanganya yupo chuo kumbe yupo sehem nyingine inashow location
ESPN SCORE CENTER hapa unapata matokeo ya match yoyote notification kwa favority team eg manchester,arselal nk
JANGO RADIO,,,hii app unasikiliza millions of songs artist all around the world for free...
ATM HUNTER i dont knw kwa bongo inaweza ila ulaya inakutambulisha wapi ATM ilipo na itakufikisha
hizomie ninatumia karibia kila siku ila zipo nyingi sana
Msaada jins ya kujailbreak...nina 4s runing IOS7...na nin hasara ya kujaibrake
Ni PM email anayetaka hizo key