Ni aibu ya Mwaka Kwa Amos Makalla

Ni aibu ya Mwaka Kwa Amos Makalla

Hivi Makala na yule katibu Mkuu ni nani haswa anatakiwa kuonekena mara kwa mara kuwakilisha Chama.
 
Makalla amechanganyikiwa, hajui ashike lipi na aache lipi.
Mambo yanadaiwa yameshaparanyika huko ndani ya CCM, Makalla kaambiwa wewe ni mtu mzima tena mwenye CPA sasa nenda kaseme chochote kilichopo kichwani ili kutuliza mambo.
😅 tena mwenye CPA
 
Nyie Mungu ni mwema sana.

Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.

Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya kimataifa kuwa Chadema wamegawanyika.

Malipo ni hapa hapa duniani. Sasa kimewalamba, wamevurugana Hadi kuhailisha vikao😁.

Taarifa iliyotoka kwenye barua ni tofauti na alichokisema Amos Makalla.

Eti wamezidiwa na namba za wagombea.

Ninachofurahi Samia kimemkuta, tiyari Kuna mpasuko. Sasa kazi Kwa CCM
Mtuletee raisi wa viti maalumu au afekwe jina kuokoa reputation ya Chama.

Niko pale😁
View attachment 3411781View attachment 3411782
Eti "Rais wa viti Maalum".
Kwa kweli hatuko tayari kuongozwa na aina hiyo ya Rais.
Tunamtaka yule ambaye amepitia hatua zote halali kuanzia kwenye chama chake hadi kwenye kura za wananchi.
Msituuzie mbuzi kwenye gunia bwashee.
 
Yeesi ule ni mtego.ndo maana zikawekwa kete mbili ikishindwa hii nasogeza hii ikishindwa na hii kijana anaitwa kama mpya ambaye kimsingi ana uungwaji mkono sana kwenye jumuiya . Alishindwa kuukata mkono unaomlisha mwanawe
Tusubir
Sasa Yale mabango yenye sura nchi nzima tuta yafanyia nini au tutapewa kama zawadi tupambe nyumba zetu?
 
😁😁😁Aisee unajua nimefurahi Samia kaumiza sana Chadema akitegemea atapata unafuu kimemlamba
Akili ndogo, huwezi kuuza nyumba kisa jirani yako anapiga kelele. Kistaarabu unaongea na jirani au unaita serikali ya mtaa mkae kikao.
 
Makalla amechanganyikiwa, hajui ashike lipi na aache lipi.
Mambo yanadaiwa yameshaparanyika huko ndani ya CCM, Makalla kaambiwa wewe ni mtu mzima tena mwenye CPA sasa nenda kaseme chochote kilichopo kichwani ili kutuliza mambo.
Jina la MAKALLA limetufedhehesha wenye CPA wote kuonekana tu punguani!
Hii inaweza wafanya NBAA kujiuliza mara mbili kabla ya kumsajili mtu akiwa na jina la MAKALLA.
 
CCM mnafeli wapi
Mambo ni simple tu

Tungeni sheria kuzuia wenyeviti wa vyama kuwania uraisi
Huo ndio mwarobaoni hata serikali itakuwa active kwa kuogopa kufukuzwa. Reforms zianze ndani ya chama
 
Nyie Mungu ni mwema sana.

Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.

Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya kimataifa kuwa Chadema wamegawanyika.

Malipo ni hapa hapa duniani. Sasa kimewalamba, wamevurugana Hadi kuhailisha vikao😁.

Taarifa iliyotoka kwenye barua ni tofauti na alichokisema Amos Makalla.

Eti wamezidiwa na namba za wagombea.

Ninachofurahi Samia kimemkuta, tiyari Kuna mpasuko. Sasa kazi Kwa CCM
Mtuletee raisi wa viti maalumu au afekwe jina kuokoa reputation ya Chama.

Niko pale😁
View attachment 3411781View attachment 3411782
Hakunaga bogasi kama hili jinga
 
Nyie Mungu ni mwema sana.

Samia na genge lake walipanga mipango mingi sana ya kuiumiza Chadema.

Wakaanzisha migogoro kupitia msajiri na mahakama. Wakaanzisha chama shikizi Ili kuhadaa jamii ya kimataifa kuwa Chadema wamegawanyika.

Malipo ni hapa hapa duniani. Sasa kimewalamba, wamevurugana Hadi kuhailisha vikao😁.

Taarifa iliyotoka kwenye barua ni tofauti na alichokisema Amos Makalla.

Eti wamezidiwa na namba za wagombea.

Ninachofurahi Samia kimemkuta, tiyari Kuna mpasuko. Sasa kazi Kwa CCM
Mtuletee raisi wa viti maalumu au afekwe jina kuokoa reputation ya Chama.

Niko pale😁
View attachment 3411781View attachment 3411782
Cry more kid. Hiyo ndiyo imekwisha. Samia ndiye mgombea, na Oktoba anapeta, jipangeni na 2030. Don't waste your energy for the 2025 elections. You are hopelessly out of time
 
CCM mnafeli wapi
Mambo ni simple tu

Tungeni sheria kuzuia wenyeviti wa vyama kuwania uraisi
Mwenyekiti wa chama hapaswi kugombea urais maana kunakuwa na conflit of interest.
Ni siasa za Tanzania tu zinazokumbatia ulimbikizaji wa madaraka na mamlaka kwa mtu mmoja.

Pili, CCM inapaswa kusajiliwa kwenye daftari la msajili wa vyama vya siasa kama vyama vingine. Wahuni wametegesha kwenye chamadola na kukwepa uwajibikaji.
 
Back
Top Bottom